Saturday, February 12, 2011

Lady in Red 2011 yafana usiku huu hoteli ya Movenpick jijini Dar ambapo wabunifu wa mitindo 20 walishirikiana na mamodo wa Kisura wa Tanzania

Seif Kassim Kisauji akitumbuiza na kundi
lake la The Babloom Trio Band

Asia akiwashukuru mamodo na wabunifu
kwa kufanikisha shughuli yake

Khadija Manamboka akionesha
ubunifu wake wa mashati ya kiume

Fide 'Lady Gaga' Ilanga ndiye aliyekuwa
mratibu wa mamodo backstage
Bw. Khamsin na Asia wakitambulishwa jukwaani
Da'Kabula ambaye ni meneja wa kilaji cha Redds (pili kulia) akiwakilisha kama mdhamini mkuu
Manju Msitta anatisha
Ally Rhentullah akitoka kujitambulisha na modo wake
Mamodo nyota wote walikuwepo
Mamodo waliofanikisha shoo hii kabambe
Baby Madaha akifanya vitu vyake
Simba Theatre Troube walikuwapo kutumbuiza
Bw. Khamsini akipozi na mdau
Mama wa Mitndi Asia Idarous Khamsin akiwa na mai hazbendi wake aliyetinga ze fulanazzzz ya globu ya jamii
Mwenyekiti wa Fabak Fashion Bw. Khamsini akiwa na mbunifu mpya Tahir Othman
Si nguo tu zilizooneshwa. hata sandozz
meza maalumu ya Globu ya Jamii...
Wadau wa ndani na nje ya nchi walihudhuria na kufurahia
palifunga....
Si mchezo
wadau wakiwa wametulia tuliiiiii....
Vicheko vya furaha kila kona
Lady in Red kumekucha
wadau wakifurahia Lady in Red 2011
Lady in Red mwaka huu kiboko
wadau toka kila kona walikuwapo
palikuwa hapatoshi
Globu ya Jamii ilikuwa ni mmoja ya masponsa
Mbunifu anayekuja juu kwa kasi Rahma W. Mbarouk
wa Asamahan Fashions akiwa na mai hazbendi wake
Wadau wa Star Times walikuwapo pia
Wadau walihudhuria kwa wingi

1 comment:

Anonymous said...

ankal hakika shughuli ni watu na watu wenyewe ndio sisi wadau wa StarTimes