Monday, April 2, 2012

SHEREHE ZA MIAKA 2 ZA LIBENEKE LA VIJIMAMBO YATIA FORA MAREKANI

 Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico, Mhe. Mwananidi Maajar akilakiwa na Mpwa mara tu alipofika kwenye sherehe za miaka 2 ya Blog ya Vijimambo zilizofanyika Jumamosi March 31, 2012 katika ukumbi wa Mirage uliopo Hyattsville, Maryland.
 Mpwa akiwa na Mhe. Balozi (kati) na Afisa Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani, Dr. Mkama (kulia) 
 Mhe. Balozi akilakiwa na Missy Temeke (kulia) pamoja na mama wa mitindo, Asya Idarous Khamsin  ( wapili toka kulia) alipokua akiingia ukumbini.
 Mhe. Balozi akikagua Banda la Mjasilamali Asya Iarous Khamsin
 Mhe. Balozi akikagua banda  la Pacifica marine
 Banda la Restart
 Mhe. Balozi akiwa kwenye Banda la Seruwage
 Mhe. Balozi akiendelea kukagua Mabanda ya Wadhamini wa  sherehe za miaka 2 za Blog ya Vijimambo
 Mhe. Balozi akiwa kwenye Banda la Iska Jojo 
 Mhe. Balozi akiwa kwenye Banda la ESM Travel
 Mhe. Balozi akiwa kwenye Banda la WAMATA
 Mhe. Balozi akiwa kwenye Banda la DMK Global
 Mhe. Balozi akipaokea CD kutoota kwa mwanamziki wa kizazi kipya, Linah

Saturday, March 31, 2012

Mzee Mkapa afunga kampeni za CCM jimbo la Arumeru mashariki kwa kishindo leo




 Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin William Mkapa akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tikeki ya CCM,Sioi Sumari kwenye Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo katika kijiji cha King'ori kata ya Leguruki.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin William Mkapa akihutubia kwenye Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo Arumeru Mashariki uliofanyika leo katika kijiji cha King'ori kata ya Leguruki.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowasa akisalimia wananchi wa kijiji cha King'ori kata ya Leguruki wakati wa Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo Arumeru Mashariki leo.
Makamu Mwenyekiti wa CCM - Bara,Mh. Pius Msekwa akisalimia wananchi wa kijiji cha King'ori kata ya Leguruki wakati wa Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo Arumeru Mashariki leo.
Katibu Mkuu wa CCM,Mh. Wilson Mukama akisalimia wananchi wa kijiji cha King'ori kata ya Leguruki wakati wa Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo Arumeru Mashariki leo.
Mgombea  Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya CCM,Sioi Sumari akihutubia kwenye Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo Arumeru Mashariki uliofanyika leo katika kijiji cha King'ori kata ya Leguruki.
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye akisalimia wananchi wa kijiji cha King'ori kata ya Leguruki wakati wa Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo Arumeru Mashariki leo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - Mahusiano na Uratibu,Stephen Wassira akisalimia wananchi wa kijiji cha King'ori kata ya Leguruki wakati wa Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo Arumeru Mashariki leo.
Wabunge toka sehemu mbali mbali ambao wapo Arumeru Kumsaidia Kampeni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki wakisalimia wananchi wa kijiji cha King'ori kata ya Leguruki wakati wa Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo Arumeru Mashariki leo.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowasa akiwasili kwenye  viwanja vya kijiji cha King'ori kata ya Leguruki wakati wa Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo Arumeru Mashariki leo.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin William Mkapa akisalimiana na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tikeki ya CCM,Sioi Sumari wakati akiwasili kwenye Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo katika kijiji cha King'ori kata ya Leguruki.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin Mkapa pamoja na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tikeki ya CCM,Sioi Sumari wakisalimia wananchi wakati wakiwasili kwenye Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo katika kijiji cha King'ori kata ya Leguruki.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin Mkapa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowasa wakati akiwasili viwanjani hapo.
Mama Mzazi wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,akisalimia wananchi wa Kijiji hicho.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowasa akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Simanjiro,Mh. Christopher Ole Sendeka mara baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Kufunga Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo Arumeru Mashariki uliofanyika leo katika kijiji cha King'ori kata ya Leguruki.
Mh. Mkapa akiagana na Mh. Peter Serukamba.
Mh. Edward Lowasa akijadiliana jambo la Mh. January Makamba.
Mh. Lowasa akiagana na wananchi wa kijiji cha King'ori kata ya Leguruki.
Meza kuu.