Tuesday, April 26, 2011

sherehe za miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo

Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kimataifa ya Hazina, wakionyesha umahiri wao wa kucheza Sarakasi wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Miaka 47 ya Muungano zilizofanyika kwenye Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar keo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiwasili na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange


Sehemu ya viongozi waliohudhuria


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia, wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu mjini Zanzibar leo baada ya kumalizika kwa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya Muungano




Vijana wa halaiki kazini


Juu ni halaiki maalumu na chini ni baadhi ya

wananchi waliohudhuria sherehe hizo leo
Baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya waliohudhulia sherehe hizo kwenye Uwanja wa Amani mjini Zanzibar Baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya waliohudhulia sherehe hizo kwenye Uwanja wa Amani mjini Zanzibar




























Kifungilo alumni yafana

Mgeni rasmi Dk. Mwele Malecela akiwa na Sista Lilian ambaye ndiye Headmistress wa Kifungilo (kulia) na Sista Modesta kwenye hafla hii ya Kifungilo
Mandhari ya Karimjee hall jioni ya leo
wanafunzi wa Kifungilo wakijiandaa kufungua champaine
Mgeni rasmi Dk. Mwele Malecela akongea na Kifumgilo alumni
Sista Lilian, headmistress wa Kifungilo akiongea
Meza kuu ikisalimiana na wanafunzi waliopita Kifungilo
Hongera
Cheersss!
Cheers!
Muwakilishi wa wazazi akiongea
Wadau wa Kifungilo
Walio nje ya nchi wakipashwa kinachoendelea live!
Wawakilishi wa wanafunzi wa mwanzo Kifungilo
Mh. Zainabu Kawawa, mmoja wa wana Kifungilo, akijidai na vidani alivyonunua katika mnada
Kifungilo alumni wakijiandaa kuimba nyimbo za shule yao
Alumni wa Kifungilo wakiimba nyimbo ya shule yao
Kifungilo Re-union
Kifungilo alumni wakiiimba nyimbo za shule yao
Furaha ya kukutana tena
Tujikumbueshe
Ni raha ilioje
Kifungilo shuffle


PE time ikiongozwa na Dk. Blandina
Mh. Zainabu Kawawa akiongoza mdumange
Hongera kwa Kifungilo alumni
Hongera!
Cheers!
Head prefect wa kwanza Kifungilo
Mambo live duniani kote
Mwakilishi wa wazazi akitoa nasaha
Mheshimiwa unachangia ngapi??
Vidani kwa Mh
Ma MC wa siku hii
Zawadi kwa shule ya Kifungilo ikipokewa na Sista Lilian
Zawadi kwa Sista Modesta
Mama Dyamwale akitoa zawadi kwa muwakilishi wa wazazi
Wana Kifungilo
Wadau wa Kifungilo
Wadau
Alumni wakiomba kuchangia harambee
Sehemu ya alumni