Thursday, December 1, 2016

DC STAKI AZINDUA HUDUMA YA UPANDAJI MITI MAENEO OEVU KWENYE VYANZO VYA MAJI

Mkuu wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Rosemary Staki amezindua shughuli ya kupanda miti maeneo oevu/ kwenye vyanzo vya Maji katika Kata ya Bwambo. Zoezi hilo limefanyika kwa ushirikiano na shirika lisilo la kiserikali la Floresta.





MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA ATOA SHUKRANI KWA MAKUNDI MBALIMBALI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa shukrani kwa makundi mbalimbali, wakuu wa idara pamoja na wadau waliofanikisha ziara yake ya kutembelea Wilaya zote za mkoa wa Dar es Salaam kujionea kero zinazowakabili wananchi pamoja na kuzitolea Majibu. Picha zote na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.














MAGAZETI YA LEO ALHAMIS DEC 1