Sunday, September 2, 2018

PINDA AFUNGUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA UKONGA ASEMA WAITARA ANATOSHA KWA JIMBO HILO

 Waziri Mkuu Mstaafu wa awamu ya nne Mizengo Pinda akizungumza kabla ya kumpandisha Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Ukonga , Mwita Waitara wakati wa Uzinduzi wa Kampeni za Ubunge Jimbo hilo
 Waziri Mkuu Mstaafu wa awamu ya nne Mizengo Pinda akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga kupitia CCM, Mwita Waitara wakati wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo.


Mbunge Mteule wa Chama Cha Mapinduzi anayegombea ubunge katika Jimbo la Ukonga , Mwita Waitara akiomba kura kwa wakazi wa jimbo hilo wakati wa uzinduzi wa kampeni za  uchaguzi mdogo katika Viwanja vya Kivule Shule
 Mjumbe wa halmashauri Kuu ya CCM, Makongoro Nyerere akimuombea kura Mgombea ubunge wa Chama hicho kwenye uzinduzi wa kampeni
 Mbunge wa Mtera , Lusinde Maharufu kama kibajaji akimuombea kura Mgombea wa CCM Mwita waitara wakati wa kufungua kampeni na kuwataka wakazi wa ukonga wasije fanya kosa kuchagua upinzani.

 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Mama Kate Kamba akifungua Mkutano huo


Katibu wa CCM  Mkoa wa Dar es Salaam , Saad Kusilawe akizungumza kablaya kumkaribisha Mwenyekiti wa mkoa kufungua Mkutano huo.


Wakazi wa Ukonga na Viunga vyake waliofurika katika Mkutano huo wa kampeni.

No comments: