Thursday, June 28, 2018

DKT. KIMEI AFANYA ZIARAKATIKA MATAWI YA BENKI YA CRDB PLC NYANDA ZA JUU KUSINI

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei (wa tatu toka kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa (wa kwanza kushoto) pamoja Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Mkwawa Iringa wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Tawi hilo wakati wa ziara ya Mkurugenzi huyo kutembelea matawi ya nyanda za juu kusini katika mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya aliyoifanya mwishoni mwa wiki iliyopita. Picha zote na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dkt. Charles Kimei (kulia) akielekezwa jambo na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa wakati walipofika katika tawi la Mkwawa -Iringa kujionea utendaji kazi.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dkt. Charles Kimei (kulia) akipata maelezo machache kutoka kwa meneja wa Tawi la Mkwawa - Iringa Kissa.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dkt. Charles Kimei akiwaafa wafanyakazi wa Tawi la Mkwawa - Iringa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei (katikati) akiwa na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa (kushoto) pamoja Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Mkwawa Iringa Kissa wakielekea ofisi ya mkuu wa Wilaya ya Mufindi wakati walipoanga kuonana na mkuu wa mkoa wa Iriinga mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa (wa pili kulia) huku akishuhudiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei (Kulia) wakati walipofika kumtembelea katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Jamhuri William wakati Dkt. Kimei alipokuwa ziara katika matawi ya nyanda za Juu Kusini.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza (kulia picha ya juu) akizungumza na  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei na ujumbe wake walipofika kumtembelea katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Jamhuri William wakati Dkt. Kimei alipokuwa ziara katika matawi ya nyanda za Juu Kusini.
 Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Jamhuri William (wa kwanza kushoto) akiwa na viongozi wengine wa wilaya wakifuatilia mazungumzo.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza (kulia) aakiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei (Kkushoto) wakati walipofika kumtembelea katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Jamhuri William wakati Dkt. Kimei alipokuwa ziara katika matawi ya nyanda za Juu Kusini.
Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Jamhuri William (kulia) akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza akisindikiza waheni wake.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza akiagana na viongozi wa Benki ya CRDB PLC akiongozwa na  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza (wa tatu kushoto) akifuatiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei na viongozi wa wilaya ya Mufindi akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Jamhuri William (wa pili toka kulia) wakiwa katika icha ya pamoja.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei akisalimiana na wafanyakazi wa Benki ya CRDB PLC tawi la Makambako.
Akisaini kitabu cha wageni.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa akisaini kitabu cha wageni.
Kila mfanyakazi akiwa na shahuku ya kumsalimia Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa  Benki ya CRDB PLC Tawi la Makambako, Njombe.

No comments: