Wednesday, February 28, 2018

NAIBU WAZIRI WA ARDHI ATEMBELEA MPAKA WA TANZANIA NA KENYA NAMANGA ARUSHA

 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akielekea kukagua mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Namanga wilaya ya Longido mkoa wa Arusha.
 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akipata maelezo kutoka kwa Ofisa wa TRA aliyeko katika kituo cha Huduma za  Pamoja Mipakani (OSBC) Paul Kamkulu  kuhusu huduma zinazotolewa katika kituo hicho kilichopo eneo la Namanga mpaka wa Tanzania na Kenya.
 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akipata maelezo kutoka kwa mkurugenzi msaidizi Upimaji vijijini wa wizara Huruma Lugalla (wa pili kulia) wakati akikagua mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Namanga wilaya ya Longido mkoa wa Arusha.
 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akitoa maelekezo kwa ujumbe alioambatana nao wakati wa  kukagua mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Namanga wilaya ya Longido mkoa wa Arusha.
 Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula na ujumbe wake wakitembea eneo la ardhi huru kuelekea ilipo alama ya mpaka baina ya Tanzania na Kenya Namanga mkoani Arusha.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula  akiwa amemshika Ngamia aliyemkuta eneo la mpaka wa Tanzania na Kenya wakati alipokuenda kukagua mpaka baina ya Tanzania na Kenya.


No comments: