Sunday, January 14, 2018

WANANCHI MKOANI MARA WAITIKIA WITO WA MKUU WA MKOA KUSAJILIWA VITAMBULISHO VYA TAIFA

 Wakazi wa kata ya Bukima Wilaya ya Musoma vijijini mkoani Mara,  wakiwa kwenye foleni wakisubiri kusajiliwa wakati wa zoezi la uandikishaji Vitambulisho vya Taifa.
 Wakazi wa kata ya Bukima Wilaya ya Musoma vijijini mkoani Mara,  wakiwa kwenye foleni wakisubiri kusajiliwa wakati wa zoezi la uandikishaji Vitambulisho vya Taifa.
 Wakazi wa kata ya Bukima Wilaya ya Musoma vijijini mkoani Mara,  wakiwa kwenye foleni wakisubiri kusajiliwa wakati wa zoezi la uandikishaji Vitambulisho vya Taifa.
 Mwenyekiti wa kijiji cha Bukima Ndg. Murungu Murungu akiwasaidia wananchi kujaza fomu za maombi ya Vitambulisho vya Taifa wakati zoezi la Usajili likiendelea kwenye ofisi ya mtendaji kata ya Bukima.
 Afisa usajili wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa Bi. Ohana Gerald akimsikiliza mmoja wa wananchi waliojitokeza kusajiliwa wakati wa zoezi la usajili  wananchi wa kata ya Bukima wilaya ya Musoma Vijijini mkoani Mara.
 Bw. Shukrani Kwikalya Mgane mkazi wa kata ya Bukima, akikamilisha hatua ya upigaji wa picha wakati wa zoezi la usajili wa Vitambulisho vya Taifa. Kulia ni afisa Usajili wa  Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa Bw. Jackson Paulo.
  Bw. Shukrani Kwikalya Mgane mkazi wa kata ya Bukima, akikamilisha hatua ya upigaji wa picha wakati wa zoezi la usajili wa Vitambulisho vya Taifa. Kulia ni afisa Usajili wa  Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa Bw. Jackson Paulo.
Baadhi ya Maafisa Usajili wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa wakiendelea na zoezi la kuwasajili wananchi wa kata ya Bukima wilaya ya Musoma Vijijini wakati wa zoezi la undikishaji Vitambulisho vya Taifa katika kituo cha ofisi ya mtendaji kata ya Bukima.

No comments: