Monday, December 11, 2017

VIJANA WA ZANZIBARA NA TANZANIA BARA WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM KUANGALIA FURSA ZILIZOPO NCHINI


Vijana kutoka Zanzibar na Tanzania Bara wakiwa katika mkutano wa majadiliano ya kuangalia fursa zilizopo nchini ili kuzifanyia kazi kwa ajili ya kulitetea taifa maendeleo. Mkutano huo ulifanyika mwishoni mwa wiki Makao Makuu ya Kampuni ya Trumark jijini Dar es Salaam.
Majadiliano yakiendelea.
Msisitizo katika majadiliano hayo.
Fursa mbalimbali zikiandikwa katika makundi.
Picha ya pamoja ya vijana hao.

No comments: