Bwana harusi, Juma katika pozi na mkwe Frola baada ya kufunga pingu za maisha na kufatiwa na tafrija katika ukumbi wa Makonde Kuringe Hall, Dar es Salaam (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Bwana harusi Juma (kulia) akiwa katika pozi na mpambe wake Jacob
Biharusi Flora (kushoto) akipozi na mpambe wake Mariam kabla ya kuingia ukumbini
Bwana haruzi Juma katika pozi akifurahia jambo wakati wa hafla fupi ya kupongezwa na mkewake Flora katika Ukumbi wa Makonde Kuringe Hall, Dar es Salaam |
Bi harusi Mtarajiwa Flora akipambwa na mpambaji maarufu Sanura Beauty Artist |
Mpambe wa Bi harusi Mtarajiwa Mariam akipambwa na mpambaji maarufu Sanura Beauty Artist |
Mnaniona katika pozi |
No comments:
Post a Comment