Tuesday, October 31, 2017

NKINGA AKUTANA NA WADAU KUPITIA RASIMU YA MFUMO JUMUISHI WA KITAIFA WA USIMAMIZI WA MASHAURI YA WATOTO

  Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Bibi. Sihaba Nkinga akiwashukuru wadau wa masuala ya watoto wakati wa kikao na wadau hao kutoka Shirika la JSI kujadili Rasimu ya Mfumo Jumuishi wa Kitaifa wa Usimamizi wa Mashauri ya Watoto na Mwongozo wa Kitaifa wa Utambuzi wa Watoto Wanaoishi Katika Mazingira Hatarishi kilichofanyika katika Ukumbi wa Wizara ulipo UDOM Dodoma.
 Afisa Ustawi wa Jamii, Dkt. Philibert Kawemame akiwasilisha  kwa Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi. Sihaba Nkinga(wanne kushoto) Rasimu ya Mfumo Jumuishi wa Kitaifa wa Usimamizi wa Mashauri ya Watoto na Mwongozo wa Kitaifa waUtambuzi wa Watoto Wanaoishi Katika Mazingira Hatarishi katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Wizara ulipo UDOM Dodoma.
 Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii Bw. Rabikira Mushi akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi. Sihaba Nkinga(kulia) kuhusu Rasimu ya Mfumo Jumuishi wa kitaifa wa Usimamizi wa Mashauri ya Watoto na Mwongozo wa Kitaifa wa Utambuzi wa Watoto Wanaoishi Katika Mazingira Hatarishi katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Wizara ulipo UDOM Dodoma.
 Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bw. Patrick Golwike akichangia jambo kuhusu Rasimu ya Mfumo Jumuishi wa kitaifa wa Usimamizi wa Mashauri ya Watoto na Mwongozo wa Kitaifa wa Utambuzi wa Watoto Wanaoishi Katika Mazingira Hatarishi katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Wizara ulipo UDOM Dodoma.
 Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi Deodatha Makani akichangia jambo kuhusu Rasimu ya Mfumo Jumuishi wa kitaifa wa Usimamizi wa Mashauri ya Watoto na Muongozo wa Kitaifa wa Utambuzi wa Watoto Wanaoishi Katika Mazingira Hatarishi katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Wizara ulipo UDOM Dodoma.
 Mkaguzi wa Ndani  kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi Elightness Mchome akichangia jambo kuhusu Rasimu ya Mfumo Jumuishi wa kitaifa wa Usimamizi wa Mashauri ya Watoto na Mwongozo wa Kitaifa wa Utambuzi wa Watoto Wanaoishi Katika Mazingira Hatarishi katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Wizara ulipo UDOM Dodoma.
 Mwakilishi wa Shirika la JSI Bw. John Stephen akimshukuru Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi. Sihaba Nkinga(kushoto) mara baada ya majadiliano kuhusu Rasimu ya Mfumo Jumuishi wa kitaifa wa Usimamizi wa Mashauri ya Watoto na Mwongozo wa Kitaifa wa Utambuzi wa Watoto Wanaoishi Katika Mazingira Hatarishi katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Wizara ulipo UDOM Dodoma.
 Baadhi ya watendaji wa Wizara Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wakifuatilia kikao cha majadiliano kuhusu Rasimu ya Mfumo Jumuishi wa kitaifa wa Usimamizi wa Mashauri ya Watoto na Mwongozo wa Kitaifa wa Utambuzi wa Watoto Wanaoishi Katika Mazingira Hatarishi katika kikao kilichofanyika Ukumbi wa Wizara ulipo UDOM Dodoma. 

Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini. WAMJW

No comments: