Thursday, October 12, 2017

HER INITIATIVE YAPIMA AFYA WATOTO WA KIKE KAWE SEKONDARI KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA KIKE DUNIANI

 Mkurugenzi Mkuu wa Tasisi ya Her Initiative,Lydia Charles akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kawe wakati  wa mahadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani kwa kutoa elimu ya afya ya Uzazi na kuwapima afya wanafunzi wa kike wa shule hiyo .
 Mmoja watangazaji wa kipindi cha Mitindo cha Clouds Televisheni akiwa na mmoja wanafunzi wa shule ya Sekondari kawe wakati alipokuwa akitoa somo la afya ya uzazi kwa wanafunzi hao  kupitia programu ya Her Initiative.
 Mtangazaji wa kipindi cha Clouds E, Saida Khalifani(Shadey) akizungumza na wanfunzi wa kike wa shule ya sekondari ya Kawe juu ya hatua muhimu za kupitia kufikia ndoto zao wakati wa tasisi ya Her Initiative ilipokwenda shuleni hapo katika mahadhimisho ya siku ya mtoto wa kike Duniani
 Madaktari wakiendelea na zoezi la upimaji afya kwa wanafunzi na wadau waliofika katika kuadhimisha siku ya mtoto wa kike katika shule ya Sekondari ya Kawe.
 Wadau wakiwa katika picha ya pozi na wanafunzi wa kike katika shule ya Sekondari ya Kawe katika kuadhimisha siku ya Mtoto wa Kike Duniani.
 Dk. Irene Shirima akimpima mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kawe wakati wa kuahadhimisha siku ya Mtoto wa kike Duniani
 Mtangazaji wa kipindi cha Clouds E, Saida Khalifani(Shadey) akipima afya na  wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kawe wakati wa kuahadhimisha siku ya Mtoto wa kike Duniani
 Dk. Irene Shirima akimpima mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kawe wakati wa kuahadhimisha siku ya Mtoto wa kike Duniani

No comments: