Matukio haya na yale sambamba na habari/picha za ziada za Globu ya Jamii
Thursday, September 28, 2017
FAINALI YA BAHATI NASIBU YA SHINDA NYUMBA YA GLOBAL PUBLISHERS - MSOMAJI KUTOKA DODOMA AIBUKA MSHINDI WA NYUMBA
Diwani ya Kata ya Mabibo (aliyefungwa kitambaa machoni), akipelekwa na MC wa shughuli hiyo, Chaku kwenda kuchagua kuponi ya ushindi.Mheshimiwa diwani akiwa kwenye rundo la kuponiMheshimiwa diwani akichanganya kuponi.Kazi ya kuchanganya kuponi ikiendelea.Mheshimiwa diwani akiwa ameshika kuponi ya ushindi, iliyotoka Gazeti la Championi.Mheshimiwa diwani akiwa ameiinua kuponi juu.Diwani Lema akisoma jina la mshindi wa nyumba, aliyemshikia kipaza sauti ni MC Chaku.Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho akizungumza kwenye droo hiyo kubwa ya Shinda Nyumba.Meneja Mrisho akipeana mikono na Diwani LemaDiwani Lema akizungumza na watu waliofika kushuhudia droo hiyo.Msomaji akichagua kuponi ya mshindi wa zawadi ya dinner set.Msomaji akichagua kuponi ya mshindi wa zawadi ya dinner set.Mhariri wa Uwazi, Elvan Stambuli (kulia) akiwa na mhariri mwenzake, Sifael Paul anayesimamia Gazeti la Ijumaa Wikienda.Abdallah Hemed (kushoto), afisa kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha, akiandika jambo huku akifuatilia droo hiyo, pembeni yake ni Meneja Mrisho.
No comments:
Post a Comment