Thursday, August 24, 2017

WAZIRI KAIRUKI AZINDUA MPANGO WA ELIMU YA RUSHWA KUTUMIA MABASI YA UDART LEO.


Msanii Mrisho Mpoto kiongozi Mrisho Band akiotumbuiza na wasanii wake wakati wa uzinduzi wa mpango huo jijini Dar es Salaam leo.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Uongozi Bora, Angelah Kairuki (katikati) wageni wa meza kuu wakifuatilia ujumbe uliokuwa ukitolewa na wasanii katika uzinduzi huo. 
Wageni wakifuatilia ujumbe uliokuwa ukitolewa na wasanii katika uzinduzi huo.
Wageni wa wakifuatilia uzinduzi huo.
Wasanii wa kundi la Amani na Upendo wakiburudisha katika uzinduzi huo.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais MeneJementi ya Utumishi wa Umma na Uongozi Bora, Angelah Kairuki akikata utepe kuashiria uznduzi wa mpango elimu ya ruswa utakaornezwa na mabasi takribani 60 ya UDART. Pmoja naye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando na viongozi mbalimbali. 
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menegementi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angelah Kairuki akipata uzoefu wa matumizi ya moja ya basi la UDART. 
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menegementi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angelah Kairuki akimshukuru Msanii Mrisho Mpoto kwa kazi nzuri ya kufikisha ujumbe kwa jamii katika hafla ya uzinduzi huo. 
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menegementi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angelah Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa meza kuu pamoja na viongozi mbalimbali.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menegementi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angelah Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa meza kuu.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menegementi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angelah Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na mabalozi wa mapambano ya rushwa.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menegementi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angelah Kairuki akibadilishana mawazo na Afisa Mtendaji mkuu wa UDART, Mhandisi Ronald Lwakatare.
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menegementi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angelah Kairuki akiaga baada ya kuhitimisha shughuli ya uzinduzi huo. 
(Imeandaliwa na Robert Okanda Blogspot)

No comments: