Saturday, August 5, 2017

NMB YATOA MSAADA WA SHILINGI MILIONI 10 KUFANIKISHA TAMASHA LA USALAMA BARABARANI AGOSTI 12 MWAKA HUU

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi , Mhandisi Ahmad Masauni akizungumza na Waandishi wa Habari Mapema jijini Dar es Salaam juu ya Tamasha la Usalama barabarani linalotaraji kufanyika Agosti 12 Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam na kushirikisha makundi mbalimbali ya Wasanii watu maharufu na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi , Mhandisi Ahmad Masauni,akipokea jezi kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Wateja Binafsi na Mauzo ,Omary Mtiga NMB imetoa Vifaa Vyenye Thamani ya Shilingi Milioni 10 kwa ajili ya Kufanikisha Tamasha la Usalama Barabarani Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi , Mhandisi Ahmad Masauni,akipokea jezi kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Wateja Binafsi na Mauzo ,Omary Mtiga NMB imetoa Vifaa Vyenye Thamani ya Shilingi Milioni 10 kwa ajili ya Kufanikisha Tamasha la Usalama Barabarani Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi , Mhandisi Ahmad Masauni Akipokea Fulana kutoka kwa Meneja Masoko wa Azam Omary Kuwe
Meneja wa Mwanamuziki Mahiri wa Bongo Fleva Diamond Platnum, Salam Mendez akizungumza juu ya uwepo wa mwanamuziki huyo katika Tamasha la Usalama Barabarani la Twenzetu Taifa.
Msanii Mkongwe wa Maigizo nchini , Suzan Lewis Mharufu kama Natasha akizungumza jambo juu ya masuala ya usalama barabarani kuelekea tamasha hilo agosti 12.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi , Mhandisi Ahmad Masauni,akipokea jezi kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Mauzo wa Kampuni ya Binslum ya hapa nchini Tanzania
Sehemu ya Wanahabari na Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani wakifatilia mkutano huo kwa makini juu ya Tamasha la Twenzetu Tifa katika masuala ya usalama barabarani

No comments: