Sunday, July 2, 2017

SHAKA AZINDUA SEMINA ELEKEZI YA UJASILIA MALI KWA VIJANA WA WILAYA YA UBUNGO



Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka wa pili kuliapamoja na Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Kinondon ndg:Said Masanga wakionja bidhaa ya dagaa zinazookwa na wajasilia mali wadogowadogo wilaya ya Ubungo

Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka wa pili kulia akionyeshwa shati la batiki moja ya bidhaa zinazotengenezwa wajasilia mali wadogowadogo wilaya ya Ubungo

Katibu wa UVCCM Wilaya ya Ubungo Leah Mbeke akizungumza

Baadhi ya Vijana walioudhuria Mafunzo ya Ujasilia Mali UVCCM Ubungo
yalio fungulia na Ndg:Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka katika
Ukumbi wa Texaz Manzese

Katibu wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam akizungumza katika Semina ya mafunzo yaUjasilia mali ya Vijana yaliofunguliwa Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka


Baadhi ya Vijana walioudhuria Mafunzo ya Ujasilia Mali UVCCM Ubungowakishangilia

Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka wa Tatu kulia akicheza Burudani ya Muziki pamoja na Vikundi vya Sanaa Vilivyo tumbuiza.

Kijana akipiga pushap

”Viongozi wa UVCCM Wilaya zote nchini fuatilieni Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015-2020,Hakikisheni asilimia 5 inayotolewa na kila Halmashauri nchini zinawafikia Vijana”Aliyasema Ndg:Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka wakati akifungua Semina ya Mafunzo ya Ujasiliamali kwa Vijana wa Wilaya Ya Ubungo Katika Ukumbu wa Texaz Manzese

No comments: