Wednesday, July 5, 2017

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII ALIPOTEMBELEA MAONYESHO SABASABA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj.Gen. Gaudence Milanzi wa akifurahia jambo na baadhi ya Wakurugenzi na waoneshaji nje ya banda la Wizara ya Maliasili naUtalii mara baada ya kutembelea banda hilo katika Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa, yaliyoanza Juni 28 – Julai 8, 2017 ambapo kwa mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai 13, 2017, yaliyozinduliwa hivi karibuni jijini Dar es salam( Picha na Lusungu Helela- Maliasili na Utalii)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj.Gen. Gaudence Milanzi wa akizungumza jana na baadhi ya Wakurugenzi na waoneshaji nje ya banda la Wizara ya Maliasili naUtalii mara baada ya kutembelea banda hilo katika Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa, yaliyoanza Juni 28 – Julai 8, 2017 ambapo kwa mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai 13, 2017, yaliyozinduliwa hivi karibuni jijini Dar es salam( Picha na Lusungu Helela- Maliasili na Utalii)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj.Gen. Gaudence Milanzi wa akizungumza jana na Baadhi ya Wakurugenzi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili naUtalii mara baada ya kutembelea banda hilo katika Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa, yaliyoanza Juni 28 – Julai 8, 2017 ambapo kwa mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai 13, 2017, yaliyozinduliwa hivi karibuni jijini Dar es salam( Picha na Lusungu Helela- Maliasili na Utalii).
Mwenyekiti wa Bodi ya TTB, Jaji mstaafu Thomas Mihayo (katikati) akizungumza na Waoneshaji alipotembelea banda la Wizara ya Maliasili naUtalii, (wa pili kulia) ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj.Gen. Gaudence Milanzi (Picha na Lusungu Helela- Maliasili na Utalii)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj.Gen. Gaudence Milanzi (wa tatu kuli) akizungumza na Waoneshaji jana alipotembelea banda la Wizara ya Maliasili naUtalii, Mwenyekiti wa Bodi ya TTB, Jaji mstaafu Thomas Mihayo (wa pili kulia) akiwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Taifa ya Utalii, Devotha Mdachi( wa kwanza kulia) 
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye lango la bustani ya wanyamapori hai wakielekea kuwaangalia wanyama kama vile simba , nyati, chui mamba, chatu pamoja na ndege wa aina mbalimbali. (Picha na Lusungu Helela- Maliasili na Utalii)

No comments: