Saturday, June 10, 2017

MASHINDANO YA QUR'AN YA AISHA SURURU FOUNDATION 2017


IMG-20170610-WA0108
IMG-20170610-WA0071
IMG-20170610-WA0107
IMG-20170610-WA0110
IMG-20170610-WA0105
IMG-20170610-WA0106
IMG-20170610-WA0036
Pichani za juu, Masheikh na Viongozi mbalimbali wa dini ya Kiislam waliohudhuria katika mashindano ya Qur'an yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
IMG-20170610-WA0046
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir akiwapa nasaha waumini wa dini ya Kiislam waliohudhuria katika mashindano ya Qur'an yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
IMG-20170610-WA0112
Sheikh Nurdin Kishki akiwapa nasaha waumini wa dini ya Kiislam waliohudhuria katika mashindano ya Qur'an yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
IMG-20170610-WA0100
Baadhi ya waumini wa Kiislam na washindani wa mashindano ya Qur'an waliohudhuria kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
IMG-20170610-WA0104
Baadhi ya waumini wa Kiislam waliohudhuria kwenye mashindano ya Qur'an kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
IMG-20170610-WA0111
Baadhi ya waumini wa Kiislam waliohudhuria kwenye mashindano ya Qur'an kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
IMG-20170610-WA0103
Baadhi ya waumini wa Kiislam waliohudhuria kwenye mashindano ya Qur'an kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
IMG-20170610-WA0116
Masheikh wa dini ya Kiislam na viongozi wakubwa akiwamo Sheikh Basaleh na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad, kwenye mashindano ya Qur'an yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
IMG-20170610-WA0101
IMG-20170610-WA0049
Maskauti wakimsindikiza kwenye jukwaa mlemavu wa macho aliyehifadhi Qur'an.
IMG-20170610-WA0114
Mgeni wa heshma, Mke wa Makamu wa Rais Mstaafu, Mama Gharib Bilal, akitoa nasaha kwa waumini wa dini ya Kiislam waliohudhuria katika mashindano ya Qur'an yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
IMG-20170610-WA0115
Mwanaharakati wa kijamii, Mwenyekiti na Mlezi wa Mashindano ya Qur'an ya Aisha Sururu Foundation, Bi Aisha Sururu, akitoa nasaha kwa waumini wa dini ya Kiislam waliohudhuria katika mashindano ya Qur'an yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo.
IMG-20170610-WA0041
IMG-20170610-WA0117
IMG-20170610-WA0118
Baadhi ya zawadi zilizozawadiwa kwa washindi wa mashindano ya Qur'an yaliyoandaliwa na taasisi ya Aisha Sururu Foundation. Wabillahi tawfeeq.

No comments: