Tuesday, May 9, 2017

RAIS DKT MAGUFULI ATOA MSAADA WA MAGARI YA WAGONJWA KWA WABUNGE WA NKASI, TABORA NA SHINYANGA

Magari matatu ya kubebea wagonjwa ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli yakiwasili tayari kwa kukabidhiwa kwa wabunge wa Nkasi, Tabora na Shinyanga Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Magari matatu ya kubebea wagonjwa ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli yakiwasili tayari kwa kukabidhiwa kwa wabunge wa Nkasi, Tabora na Shinyanga Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwa na  Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy,  Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwa na  Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy,  Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga akikabidhiwa ufunguo wa gari la kubebea wagongwa  na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga akionesha ufunguo wa gari la kubebea wagongwa  na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Tabora Mhe. Munde Tambwe akikabidhiwa ufunguo wa gari la kubebea wagongwa  na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy,  Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe wakiwa na magari ya kubebea wagongwa waliyopewa  kama msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016

Mbunge wa Nkasi Mhe Ali Mohamed Kessy akiwa na gari la kubebea wagonjwa  alilokabidhiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ikiwa msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016

Mbunge wa Nkasi Mhe Ali Mohamed Kessy akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi walipofika kupokea msaaada wa magari ya kubebea wagonjwa toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Mbunge wa wa Viti Maalumu Mhe Munde Tambwe akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi walipofika kupokea msaaada wa magari ya kubebea wagonjwa toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Mbunge wa wa Viti Maalumu Mhe Lucy Mayenga  akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi walipofika kupokea msaaada wa magari ya kubebea wagonjwa toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwakaribisha  Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy,  Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwa na  Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. Ali Mohamed Kessy,  Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Mayenga, Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora Mhe Munde Tambwe akiwaonesha magari ya kubebea wagongwa wanayopewa kama msaaada toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2016.
Picha na IKULU


No comments: