Wednesday, April 5, 2017

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, Akabidhi Vifaa Kwa Kituo Cha Afya Bogowa Wilaya ya Mkoani Kijiji cha Mganyageni Pemba.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Mkuu wac Wilaya ya Mkoani Mhe Hemed Suleiman alipowasili katika viwanja vya Kituo cha Afya Bogowa kwa ajili ya kukabidhi Vifaa kwa ajili ya Chuma cha Wazazi katikac Kituo hicho cha Afya katika Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Wafanyakazi wa Wizara ya Afya na Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya Mkoani Pemba wakati alipowasili katika viwanja vya Kituo cha Afya Bogowa kukabidhi vifaa vya afya katika Kituo hicho.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, na Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Balozi wakimsikiliza Mganga Mkuu wa Kanda ya Pemba Dr. Mbwana Shoka, akitowa maelezo wakati wakitembelea Chumba cha Wazazi katika Kituo hicho cha Afya Bogowa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba. 
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimsikiliza Mganga Mkuu wa Kanda ya Pemba Dr. Mbwana Shoka akitowa maelezo wakati wa ziara ya Mke wa Rais wa Zanzibar kutembelea kituo hicho na kukabidhi vifaa vya Afya kwa Chumba cha Wazazi katika Kituo hicho.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiteta jambo na Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Harusi Siad Suleiman wakati wa hafla hiyo, wakiwa katika viwanja vya Kituo hicho Bogowa Mkanyageni Pemba.
Mfanyakazi wa Kituo cha Afya Bogowa Mkanyageni Pemba Mwanahawa Mohammed Abdallah akisoma risala kwa niaba ya wafanyakazi na wananchi wa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba. 
Mganga Mkuu wa Kanda ya Pemba Dr Mbwana Shoka akitowa maelezo kwa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya chumba cha wazazi kwa Kituo hicho cha Afya Bogowa Mkanyageni Pemba. 
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pembe Mhe. Omar Khamis akizungumza wakati wa hafla hiyo kabla ya kumkaribisha Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein. wakati wa kukabidgi vifaa vya Afya kwa Kituo cha Afya Bogowa Mkanyageni Pemba Wilaya ya Mkoani.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama Asha Suleiman Balozi wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe Omar Khamis wakati wa hafla hiyo.
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman, akitowa nasaha zake wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya afya kwa Chumba cha Wazazi katika Kituo cha Afya Bogowa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba.
Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni wakifuatilia hafla hio ya kukabidhi vifaa vya afya kwa ajili ya chumba cha Wazazi katika Kituo cha Afya Bogowa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba.
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Harusi Said Suleiman akizungumza kabla ya kumkaribisha Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, kuzungumza na Wananchi wa Jimbo la Mkanyageni wakati wa kukabidhi Vifaa vya Afya kwa ajili ya Chumba cha Wazazi katika Kituo hicho.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwahutubia Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni wakati wa hafla ya kukabidhi Vifaa vya Afya katika Kituo cha Bogowa Mkanyageni kwa ajili ya Wazazi wanaofika katika Kituo hicho kuja kujifungua.
Wananchi wa Kijiji cha Mkanyageni wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na wananchi hao na kutowa nasaha zake kabla ya kukabidhi vifaa vya afya kwa chumba cha wazazi katika kituo cha Afya Bogowa Mkanygeni Pemba.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akikabidhi mashuka kwa Muuguzi Mkuu wa Afya na Jamii wa Kituo cha Afya Bogowa Bi. Moza Mohammed Ali, kushoto Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama Asha Suleiman, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Kituo cha Afya Bogowa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba. 
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akikabidhi mashine ya kupimia Sukari katika Kituo hicho kwa Muuguzi Mkuu wa Afya na Jamii wa Kituo cha Afya Bogowa Bi. Moza Mohammed Ali, kushoto Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama Asha Suleiman, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Kituo cha Afya Bogowa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba. 
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akikabidhi mashine ya kupimia presha wazazi katika kituo hicho kwa Muuguzi Mkuu wa Afya na Jamii wa Kituo cha Afya Bogowa Bi. Moza Mohammed Ali, kushoto Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama Asha Suleiman, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Kituo cha Afya Bogowa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba. 
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akikabidhi pempasi kwa ajili ya watoto wanaozaliwa katika kituo hicho akipkea Muuguzi Mkuu wa Afya na Jamii wa Kituo cha Afya Bogowa Bi. Moza Mohammed Ali, kushoto Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama Asha Suleiman, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Kituo cha Afya Bogowa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba. 
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimsikiliza Muuguzi Mkuu wa Afya na Jamii wa Kituo cha Afya Bogowa Bi. Moza Mohammed Ali, akitowa shukrani kwa msaada huo kwa kituo hicho. kushoto Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama Asha Suleiman, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Kituo cha Afya Bogowa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba. 

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman na viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi wa Kituo cha Afya cha Bogowa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba.


Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman na viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi wa Kituo cha Afya cha Bogowa Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Pemba.

Viongozi wa meza kuu wakiitikia dua baada ya kumalizika kwa hafla ya kukabidhi vifaa vya afya katika kituo cha afya bogowa mkanyageni Wilaya Mkoani Pemba.

Imetayarishwa na Othman Maulid 

Zanzinews.Blog .com

No comments: