Wednesday, April 12, 2017

KAMPUNI YA ZANTEL YASHIRIKI UDHAMINI WA SHINDANO LA 'SHIKA NDINGA' MWANANYAMALA


Mmoja kati ya majaji katika shindano la Shika Ndinga linaloendeshwa na kituo cha redio cha Efm na kudhaminiwa na Kampuni ya Zantel, Said Mkumba (kushoto) akiwakagua washiriki waliokuwa wakichuana katika mwendelezo wa kampeni ya ‘Shika Ndinga’ iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki yenye thamani ya Sh1.9 milioni baada ya kuibuka washindi. Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume walifuzu hatua ya mchujo.
Alphonse Daudi, mkazi wa Gongo la Mboto akifurahi baada ya kukabidhiwa pikipiki yenye thamani ya Sh1.9 millioni aliyoshindi kwa upande wa wanaume wakati wa kampeni ya ‘Shika Ndinga’ inayoendeshwa na kituo cha redio cha Efm na udhaminiwa na kampuni ya Zantel iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma, Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Kushoto ni meneja uhusiano na matukio kutoka Efm Neema Mukurasi. Katika mwendelezo wa kampeni hiyo, washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki. Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume walifuzu hatua ya mchujo.
Mmoja kati ya majaji katika shindano la Shika Ndinga linaloendeshwa na kituo cha redio cha Efm na kudhaminiwa na Kampuni ya Zantel, Said Mkumba (kulia), akimwonyesha kadi ya nyekundu mmoja ya washiriki katika mwendelezo wa kampeni ya ‘Shika Ndinga’ iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki yenye thamani ya Sh1.9 milioni baada ya kuibuka washindi. Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume walifuzu hatua ya mchujo na kuingia katika hatua ya fainali ambapo watachuana na washiriki wengine kutoka wilaya za jiji la Dar es Salaam.
Meneja uhusiano na matukio wa kituo cha redio cha Efm Neema Mukurasi (kulia) akizungumza na washindi wa pikipiki Rehema Nassoro (katikati) na Alphonse Daudi wakati wa kampeni ya ‘Shika Ndinga’ inayoendeshwa na kituo hicho na kudhaminiwa na kampuni ya Zantel iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma, Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Washindi hao kila mmoja alikabidhiwa pikipiki yenye thamani ya Sh1.9 milioni. Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume walifuzu hatua ya mchujo.
Rehema Nassoro akisaini fomu ya baada ya kuibuka mshindi wa pikipiki kwa upande wa wanawake wakati wa kampeni ya ‘Shika Ndinga’ inayoendeshwa na kituo cha redio cha Efm na udhaminiwa na kampuni ya Zantel iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma, Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Katika mwendelezo wa kampeni hiyo, washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki yenye thamani ya Sh1.9 milioni. Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume walifuzu hatua ya mchujo.
Mmoja kati ya majaji katika shindano la Shika Ndinga linaloendeshwa na kituo cha redio cha Efm na kudhaminiwa na Kampuni ya Zantel Said Mkumba (kulia) akimwonyesha kadi ya njano mmoja ya washiriki katika mwendelezo wa kampeni ya ‘Shika Ndinga’ iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki yenye thamani ya Sh1.9 milioni baada ya kuibuka washindi. Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume walifuzu hatua ya mchujo.
Washiriki wa shindano la Shika Ndinga linaloendeshwa na kituo cha redio Efm na kudhaminiwa na Kampuni ya Zantel wakichuana katika mwendelezo wa kampeni ya Shika Ndinga iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki yenye thamani ya Tsh1.9 milioni baada ya kuibuka na ushindi. Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume walifuzu hatua ya mchujo.

No comments: