Saturday, April 15, 2017

EFM YAKABIDHI PIKIPIKI MBILI KATIKA SHINDANO LA SHIKA NDINGA, TABATA

 Mshindi wa Pikipiki ya Sanmoto katika shindano la Shika Ndinga lililoandaliwa na Efm Radio kwa Wilaya ya Ilala, Jane Honga akinyoosha mkono juu kuonyesha furaha yake baada ya kutangazwa kuwa mshindi katika shindano hilo lililofanyika mchana wa leo katika uwanja wa Shule ya Msingi Tabata, Jijini Dar es salaam.
 Mkuu wa Vipindi wa Redio ya Efm 93.7, Dikson Ponela 'Dizo' akikabidhi mkataba wa pikipiki kwa mshindi wa shindano la shika ndinga Wilaya ya Ilala, Jane Honga.
  Mshindi wa Pikipiki ya Sanmoto katika shindano la Shika Ndinga lililoandaliwa na Efm Radio kwa Wilaya ya Ilala, Jane Honga akitokwa na Machozi ya kutoamini kama yeye ndiye aliyeibuka mshindi katika shindano hilo.
 Mshindi wa Shindano la Shika ndinga ambaye ameweza kujinyakulia pikipiki ya Sanmoto , Amani Juma akishangilia kwa furaha mara baada ya kutangazwa mshindi wa shindano hilo katika Wilaya ya Ilala lililofanyika katika uwanaj wa Tabata shule.
 Mtangazaji wa kipindi cha ubaoni Mujuni Silvery 'Mpoki' akiwa na Mtangazaji mwenzie bikira wa Kisukuma katika shoo ya Shika ndinga Tabata Shule
 Wahindi wa shindano la Shika Ndinga  wakiwa wamekalia pikipiki za Sanmoto mara baada ya kukabidhiwa
 Wanawake wakiwa katika hatua ya shindano la kujaza maji hili kwenda hatu ya pili

 Afisa Uhusiano wa Benki ya watu wa Zanzibar (PBZ),Aisha Mohamed  akizungumza na Swebe juu ya huduma za benki hiyo
 Maofisa habari wa Efm na waratibu wa shindano la Shika Ndinga , Jesca na Anet wakipanga jambo katika shinadano katika uwanja wa Tabata shule
 Afisa Masoko wa Kampuni ya Property International ,Leila Mahingu akizungumza na wakazi wa Tabata juu ya huduma zinazotolewa na kampuni yake
 Mmoja wa washiriki akibebwa na walinzi mara baada ya kushindw akuendelea na shindano la shika ndinga katika Viwanja vya Taba Shule
 Mzee wa Kizingiti kutoka E.TV  Akitoa burudani kwa wakazi wa Tabata Shule
Washiriki wakiwa wameshika gari wakati shindano likiendelea

No comments: