Tuesday, April 11, 2017

DKT. HARRISON MWAKYEMBE ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA TBC

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akipokelewa na mwenyeji wake ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Dkt. Hassan Abbasi. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017. 
Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) akimuonyesha Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe picha za Viongozi mbalimbali waliowahi kuongoza TBC wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akionyeshwa mikanda ya santuri zenye hotuba za Mwalimu Nyerere enzi za uhai wake wakati wa ziara yake katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akionyeshwa baadhi ya machapisho yaliyohifadhiwa ndani ya studio za Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) wakati wa ziara yake katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akiangalia picha mbalimbali za wasanii na watu maarufu katika ubao wakati wa ziara yake katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akimsikiliza mtangazaji wa Redio France International (RFI) wakati wa ziara yake katika studio za redio hiyo Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiwa ndani ya studio ya Redio France International (RFI) wakati wa ziara yake katika studio za redio hiyo Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017.Aliyesimama ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Dkt. Hassan Abbasi. 

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akiangalia mtambo wa redio uliokuwa ukitumika zamani enzi za ukombozi wa Bara la Afrika ambapo matangazo yake yalirushwa na mtambo huo wa Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) kipindi hiko. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akiangalia moja ya mitambo ya redio inayotumika sasa kurusha matangazo ya moja kwa moja ndani ya studio za Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) Makao Makuu-Barabara ya Nyerere. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akiangalia meza iliyokuwa ikitumika na Mwalimu Nyerere wakati alipokuwa akitembelea Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) enzi za uhai wake. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akiagana na Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Dkt. Ayub Rioba mara baada ya kukamilisha ziara yake katika Taasisi hiyo 10 Aprili, 2017 Jijini Dar es Salaam. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) pamoja na watendaji wengine toka Wizarani mara baada ya kukamilisha ziara yake katika Makao Makuu ya Taasisi hiyo 10 Aprili, 2017 Jijini Dar es Salaam.  (PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA-WHUSM)

No comments: