Thursday, March 30, 2017

Wafanyakazi wa Airtel wakiitambulisha sokoni ofa ya Hatupimi Bando leo

 Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel, Isaack Nchunda (kulia), akitoa elimu kuhusu ofa mpya ya Hatupimi Bando kwa wafanyabiashara katika Soko la Tandale, wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana, kuitambulisha  huduma hiyo. 
 Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya akitoa elimu kuhusu ofa mpya ya Hatupimi Bando kwa Mfanyabiashara katika Soko la Shekilango Ubungo, Godwin Rwekubya, wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana, kuitambulisha  huduma hiyo. 
 Meneja Mauzo wa Airtel Kanda ya Dar es Salaam, Robert Sanyagi (kushoto),  akitoa elimu kuhusu ofa mpya ya Hatupimi Bando kwa wafanyabiashara katika Soko la Tandale, wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana, kuitambulisha  huduma hiyo.

 Mkuu wa Idara ya Ukaguzi wa ndani, Nestory Malewo (kushoto)  pamoja na Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde pamoja na kwa pamoja wakitoa elimu kuhusu ofa mpya ya Hatupimi Bando kwa wafanyabiashara katika Soko la Tandale, wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana, kuitambulisha  huduma hiyo.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Airtel wakitembea kwa pamoja kuipeleka ofa ya Hatupimi Bando kwa wateja sokoni
 Meneja Mauzo wa Airtel , Frederick Mwakitwange akitoa maelezo kwa  wafanyakazi wa Airtel kkabla ya kuingia sokoni kwenda kutembelea wateja sokoni
 wafanyakazi wa Airtel katika picha ya pamoja 
 baadhi ya wafanyakazi wa Airtel wakiongea na wateja wao katika maeneo ya Tiptop mapema leo wakati walipotembelea wateja na kutoa elimu juu ya ofa mpya ya Hatupimi Bando 
Meneja Kitengo cha Network, Charles Matinga akitoa elimu juu ya ofa mpya ya Hatupimi Bando kwa mfanyabiashara wa soko la Tandale leo wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea wateja wake Sokoni

No comments: