Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na wahandisi na maafisa wa Wakala wa Majengo ya Serikali
wakati alipowasili kukagua eneo linapojengwa Ikulu mpya kijijini
Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma leo Machi 16, 2017
Sehemu ya matofali katika eneo linapojengwa Ikulu mpya kijijini Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma leo Machi 16, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akitoa maelekezo wakati alipotembelea na kukagua eneo linapojengwa
Ikulu mpya kijijini Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma leo Machi 16,
2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph
Magufuli akitoa maelekezo wakati alipotembelea na kukagua eneo
linapojengwa Ikulu mpya kijijini Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma
leo Machi 16, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi
ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
wakati walipotembelea na kukagua eneo linapojengwa Ikulu mpya kijijini
Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma leo Machi 16, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisikiliza wakati Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiongea na
wafanyakazi wa TBA wakati wakikagua matofali walipotembelea na kukagua
eneo linapojengwa Ikulu mpya kijijini Chamwino nje kidogo ya mji wa
Dodoma leo Machi 16, 2017
Mkurugenzi Mkuu wa CDA, Paskasi Muragili,akitambulishwa kwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph
Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa walipotembelea na kukagua eneo
linapojengwa Ikulu mpya kijijini Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma
leo Machi 16, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph
Magufuli akitoa maelekezo wakati alipotembelea na kukagua eneo
linapojengwa Ikulu mpya kijijini Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma
leo Machi 16, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na
Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa wakikagua matofali walipotembelea na
kukagua eneo linapojengwa Ikulu mpya kijijini Chamwino nje kidogo ya
mji wa Dodoma leo Machi 16, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na
Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa wakikagua matofali walipotembelea na
kukagua eneo linapojengwa Ikulu mpya kijijini Chamwino nje kidogo ya
mji wa Dodoma leo Machi 16, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na
Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa wakiangalia ufyatuaji wa matofali
walipotembelea na kukagua eneo linapojengwa Ikulu mpya kijijini
Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma leo Machi 16, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na
Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa wakichanganya mchanga na saruji na
kusaidia kufyatua matofali walipotembelea na kukagua eneo linapojengwa
Ikulu mpya kijijini Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma leo Machi 16,
2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na
Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa wakikagua mchanga unaotengezewa matofali
walipotembelea na kukagua eneo linapojengwa Ikulu mpya kijijini
Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma leo Machi 16, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na
Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa wakimwangalia Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu Mhe Jenista Muhagama (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na
Wenye Ulemavu) akiagana na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Arch. Elius Mwakalinga
kagua matofali walipotembelea na kukagua eneo linapojengwa Ikulu mpya
kijijini Chamwino nje kidogo ya mji wa Dodoma leo Machi 16, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakikagua matofali yaliyokatika hatua ya Ukomazaji katika maji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakikagua matofali ambayo yameshakuwa tayari kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe
Magufuli akibeba moja ya tofali mara baada ya kukagua matofali yatakayotumika
katika ujenzi wa Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wakimsikiliza
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) Arch. Elius Mwakalinga kuhusu kazi za
ufyatuaji wa Matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu Chamwino mkoani
Dodoma.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakikagua matofali yaliyokatika hatua ya Ukomazaji katika maji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na vijana wanaoshiriki katika kazi za kubeba matofali katika eneo hilo la ufyatuaji wa matofali, Chamwino mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akikagua moja ya matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma, huku Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akibeba moja ya tofali mara baada ya kukagua matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakishiriki katika kazi za ufyatuaji wa Matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma.
No comments:
Post a Comment