Tuesday, March 28, 2017

MKUTANO WA WALIMU WAKUU WA SKULI ZA SEKONDARI UNGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Ayoub Mohamed Mahamoud alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi mnazi mmoja mjini unguja katika mkutano maalum wa walimu wa skuli za sekondari za unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Riziki Pembe Juma alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi mnazi mmoja mjini unguja katika mkutano maalum wa walimu wa skuli za sekondari za unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akifuatana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Riziki Pembe Juma pamoja na Viongozi wengine alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi mnazi mmoja Mjini Unguja katika mkutano maalum wa Walimu wa Skuli za Sekondari za Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali wa Serikali alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi mmoja Mjini Unguja katika mkutano maalum wa walimu wa skuli za Sekondari za unguja.
Baadhi ya Walimu wa skuli za Sekondari za Unguja wakiwa katika mkutano wa pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni Mjini Unguja.
Baadhi ya Walimu wa Skuli za Sekondari za Unguja wa Mikoa Mitatu ya Unguja wakiwa katika mkutano wa pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni Mjini Unguja.
Viongozi mbali mbali wa Serikali wakiwa katika mkutano maalum wa walimu wa skuli za Sekondari za Unguja, uliofanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.
Baadhi ya Watendaji mbali mbali wakiwa katika mkutano maalum wa walimu wa Skuli za Sekondari za Unguja, uliofanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni Mjini Unguja,ambapo mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.[Picha na Ikulu.] 28/03/2017.

No comments: