Tuesday, February 28, 2017

YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI LEO FEBRUAY 27, 2017

Fuatilia mazungumzo kuhusu mchango wa sekta ya  kilimo nchini katika kuhamasisha maendeleo ya viwanda  nchini; https://youtu.be/mAxEYh_PgFo

Inaelezwa kuwa asilimia 43 ya wakazi mkoani Manyara hujisaidia porini kutokana na kutokuwa na vyoo; https://youtu.be/Rb3P56LXYNs

wakazi wa kijiji cha Oligilai wilayani Arumeru mkoani Arusha wailalamikia mamlaka ya maji wilayani humo kuweka mashine ya  kusukuma maji bila ya ruhusa yao; https://youtu.be/wF_61jTyT0Y

Wanafunzi wa kitongoji Mtambalala kilichopo mkoani Katavi waiomba serikali kuboresha miundombinu ya shule ya msingi Mtambalala; https://youtu.be/NFns48Teno8

Askari wa jeshi la polisi wilayani Bukombe mkoani Geita wametakiwa kushirikiana na viongozi katika kutekeleza shughuli mbalimbali za ulinzi; https://youtu.be/jshWt6U80SE

Madiwani 23 kati ya 26 wa halmashauri ya wilaya ya Songwe wamkataa mkurugenzi wa halmashauri ya Songwe kwa madai ya kutokuwa na imani na utendaji kazi wake; https://youtu.be/GQ18TgAUx7Q

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma amesema vita ya Majimaji ni fursa kubwa ya kuwa kivutio cha utalii kwa mkoa wa Ruvuma; https://youtu.be/1qaTDaLmyzE

Balozi wa Ujerumani nchini amesema historia ya vita vya Majimaji ni muhimu ikitunzwa vizuri; https://youtu.be/bXCfjgfCVQ0

Mkuu wa mkoa wa Morogoro aziagiza wilaya zote mkoani Morogoro kuwa na daftari lenye takwimu za wakulima wote wa mkoani Morogoro; https://youtu.be/P9yZAwozvNY

Tanzania na Uganda zaingia makubaliano ya kushirikiana kibiashara kama sehemu ya kukuza uchumi wan chi zote mbili; https://youtu.be/oxNZYbWFY-0

Wananchi wa kata ya Mbesa wilayani Tunduru walalamikia ubovu wa barabara unaosababisha kero kubwa katika shughuli za kiusafiri; https://youtu.be/gdymNqdjg-Q

Wanachama wa chama cha Msalaba Mwekundu wilayani Busega wajitokeza kufanya usafi katika soko la Lamadi; https://youtu.be/4lJ7FPdEzSg

Wananchi wametakiwa kuhakikisha wanasafisha maeneo yao ili kuepuka kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kama vile kipindupindu; https://youtu.be/_WonWMiz0P0

No comments: