Tuesday, February 21, 2017

KATIBU WA NEC IDARA YA SIASA NA UHUSIANO WA KIMATAIFA CCM KANAL MSTAAFU NGEMELA LUBINGA ATEMBELEA UVCCM OFISI NDOGO DAR ES SALAAM LEO.



Katibu wa NEC Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Ofisi Ndogo Makao Makuu ya UVCCM Taifa.
Kaimu katibu UVCCM Shaka Hamdu Shaka wa pili kulia akimuonyesha ofisi mbalimbali Katibu wa NEC Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga mara baada ya kuwasili Ofisi Ndogo Makao Makuu ya UVCCM Taifa

Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka akitoa ufafanuzi na kumkaribisha Katibu wa NEC Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga kuzungumza na wajumbe Wa Sekretariet Ya UVCCM TAIFA pamoja na wafanyakazi Ofisi Ndogo Makao makuu Uvccm Dar es Salaam.

Viongozi Wakimsikiliza kwa makini

Mkuu wa Utawala UVCCM Taifa Omary ng’wanangwalu akimsikiliza Katibu wa NEC Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu
Ngemela Lubinga


Katibu wa NEC Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu
Ngemela Lubinga akizungumza Wajumbe Sekretariet Ya UVCCM TAIFA pamoja na wafanyakazi Ofisi Ndogo Makao makuu Uvccm Dar es Salaam.

picha ya Pamoja ya Katibu wa NEC Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga pamoja na Wajumbe wa Sekretariet Ya UVCCM TAIFA Ofisi Ndogo Makao makuu Uvccm Dar es Salaam.
Kaimu Katibu Mkuu Uvccm Taifa Shaka Hamdu Shaka akizungumza jambo na Katibu wa NEC Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu
Ngemela Lubinga Ofisi ndogo Makao makuu Uvccm Dar es Salaam.




Naibu Katibu UVCCM Bara Ndg:Mfaume kizingo akiagana na Katibu wa NEC Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu
Ngemela Lubinga Ofisi Ndogo Makao makuu Uvccm Dar es Salaam.
wajumbe wa Sekretariet ya UVCCM Taifa wakimuaga Katibu wa NEC Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga Ofisi Ndogo Makao makuu Uvccm Dar es Salaam. picha zote nz fahady siraji

No comments: