Thursday, January 19, 2017

WAZIRI MBARAWA AFANYA ZIARA KUANGALIA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA TATU LA ABIRIA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA JNIA

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi akimkaribisha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa alipofanya ziara leo Januari 19 kuangalia Ujenzi wa Jengo la Tatu la Abiria (TB III), katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere 
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi akitoa maelezo ya Utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Tatu la Abiria (TB III), katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa. 
Kukagua Mradi wa Ujenzi.
 Waziri Mbarawa (katikati), akisikiliza kwa makini maelezo ya Mhandisi Mohamed Millanga kuhusu ujenzi huo.
 Mkurugenzi wa Mradi Mhandisi Mohamed Millanga akitoa maelezo kwa Waziri Mbarawa.
 Waziri Mbarawa akikagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria (TB III) katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere.  
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliamo, Prof. Makame Mbarawa (kushoto), akipata maelezo kuhusu ujenzi wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kutoka kwa Mkurugenzi wa Mradi Mhandisi Mohamed Millanga wakati waziri alipofanya ziara jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliamo, Prof. Makame Mbarawa akizungumza mara baada ya kukagua ujenzi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria (TB III) katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere.  Kulia ni Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi.

No comments: