Saturday, December 10, 2016

TASWIRA KATIKA MABANDA YA MAONESHO YA VIWANDA VYA NDANI KATIKA VIWANJA VYA SABASABA JIJINI DAR

Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Gaudensia Simwanza (kulia) akitoa maelezo kwa wateja wa waliofika katika banda la TFDA katika maonesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Kaimu Meneja huduma kwa wateja na Elimu kwa Umma Ndugu Jemes Ndege( kulia)akitoa elimu kwa wananchi waliofika katika banda la TFDA katika maonesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mwalimu wa Umeme VETA Kipawa, Athuman Ubaya akitoa maelezo kwa wananchi waliofika katika banda la TFDA katika maonesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mshauri wa Habari PPR, Paschal Mayara akitoa huduma katika maonesho ya Viwanda yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakipata maelezo katika banda la Dar Ropes katika Maonesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Uchumi na Biashara wa Nchini, Ukraine, Nataliya Mykolska akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Masoko na Mauzo wa Azam, Omary Kuwe walipotembelea banda la Azam katika Maonesho ya Viwanda yanayoendelea katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakipata huduma katika banda MeTL katika maonesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

No comments: