Thursday, December 1, 2016

NAIBU INSPEKTA JENERALI WA POLISI ABDULRAHMANI KANIKI AFUNGA MAFUNZO YA KATIKA CHUO CHA MAAFISA WA POLISI KIDATU.

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi , Abdulrahmani Kaniki akimkabidhi cheti cha Upelelezi Polisi Konstebo Jonathani Tossi wakati wa hafla ya kufunga mafunzo ya upelelezi kwa askari polisi wa Kinondoni katika chuo cha maafisa wa polisi Kidatu mkoani Morogoro
Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi , Abdulrahmani Kaniki akifafanua (katikati) jambo wakati wa hafla ya kufunga mafunzo ya upelelezi kwa askari polisi wa Kinondoni katika chuo cha maafisa wa polisi Kidatu mkoani Morogoro. Kulia ni Kamishina wa Polisi operesheni na mafunzo, Nsato Marijani 
Kamishina wa Operesheni na Mafunzo ( CP) Nsato Marijani akimsikiliza mwakilishi wa Taasisi ya Hans Sidel Bi Juliana wakati wakimsubili Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi kuwasili katika chuo cha maafisa wa Polisi Kidatu kwa ajili ya kufunga mafunzo ya upelelezi kwa askari Polisi wa mkoa wa kipolisi Kinondoni. ( picha na Tamimu Adam- Jeshi la Polisi).
Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi , Abdulrahmani Kaniki akisalimiana na Kamishina wa Polisi operesheni na mafunzo, Nsato Marijani alipofika kufunga mafunzo ya upelelezi kwa askari polisi wa Kinondoni katika chuo cha maafisa wa polisi Kidatu mkoani Morogoro.
Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi , Abdulrahmani Kaniki akisamilimiana na Mkuu wa Upelelezi wa Kinondoni Mark Njera alipofika kufunga mafunzo ya upelelezi kwa askari polisi wa Kinondoni katika chuo cha maafisa wa polisi Kidatu mkoani Morogoro

No comments: