Monday, November 21, 2016

WADAU WA ELIMU WAKUTANA KWA SIKU MBILI JIJINI DAR ES SALAAM KUJADILI ELIMU YA JUU NCHINI

Mwenyekiti wa kamisheni ya vyuo vikuu nchini(TCU), Profesa Jacob Mtabaji akizungumza na wadau mbalimbali wa masuala ya eleimu waliofika katika kongamano hilo
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi ,Profesa Joyce Ndalichako, akizungumza na wadau wa masuala ya eleimu ya juu wakati alipokuwa akifungua mkutano wa siku mbili kujadili elimu ya juu hapa nchini uliofanyika katika ukumbi wa mwalimu Nyerere.
Profesa Abdul Karim Mvuma, mtaalamu wa masuala ya Geolojia nchini Tanzania  akitoa mada katika mkutano huo .
Wadau mbalimbali wa masula ya elimu ya juu wakifatilia kwa makini mijadala mbalimbali ilikuwa ikiendeshwa katika mkutano huo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako akisalimiana na Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Riziki .P. Juma mara alipo wasili katika ukumbi huo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi ,Profesa Joyce Ndalichako, wapili kushoto akiwa ameongozana na viongozi mbalimbali kuelekea katika mkutano juu ya masuala ya eleimu ya juu kwa Tanzania ulioandaliwa na Mamlaka ya elimu nchini (TEA) katia ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
  Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi ,Profesa Joyce Ndalichako akiwa katika picha ya Pamoja na baadhi ya viongozi wa sekretarieti ya kongamano hilo.

1 comment:

Tiba asili said...

KUMTULIZA MKE/MME WAKO MTIMIZE MALENGO YENU.

ASALAAM WAALAYKUM/ HABARI ZENU NYOTE

LEO natoa somo Kwa ufupi sana kuhusu mahusiano,
Kila mtu ana haki ya kupendwa pia kupenda kulingana na mzunguko na harakati za maisha watu wengi wamejikuta aidha kwa wanaume na wanawake wote Kwa ujumla kudharauliwa, kuteswa, kunyimwa unyumba, kupuuzwa na hata kuchepukwa na wake au wachumba zao bila hata hofu yoyote hii ikipelekea familia nyingi au ndoa nyingi kuvunjika na nyingine kuishi bila amani na raha.

Mwanamke/mwanaume au Binti au kijana unaesoma huu ujumbe husikubali mtu ambaye unamalengo naye kumpoteza hivi na wakati Kwa mwanaume tunatafuta Ili familia zetu zifurahi na mwanamke unaishi Ili kulitunza nyumba au watoto wako.

Kimekuwa na watoto wengi mitaani kisa wababa kukimbia familia na wamama sikuhizi kukimbia mpaka watoto kwanini usumbuke Dokta Mdiro nakuletea dawa ya KUMTULIZA mme/MKE/mchumba/ au umpendae dawa hii ni tofauti na Limbwata na Haina madhara katika Afya ya akili wana mizunguko ya kilasiku Kwa mhusika
Dawa hii ya ZIKA HABA Itamfanya umpendae
AKUPENDE
AKUSIMILIZE
AKUHESHIMU
ASICHEPUKE
KUKUFANYA KUWA WA KWANZA KWAKE
Muweze kupanfa mambo yenu na kutimiza mambo yenu ya kimaisha

Siku zote kumbuka DOKTA MDIRO anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto Mali na Ndagu.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na DOKTA MDIRO
CALL/WHATSUP
+255 742162843