Sunday, November 27, 2016

VIJANA WAKISEBENEKA KWA FURAHA BAADA YA KUMALIZA MAFUNZO YA UJASILIAMALI



Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akizungumza na Vijana wajasiliamali kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania walioshiriki Mafunzo ya Siku tano ya Ujasiliamali, Fursa na Taratibu za kufanya biashara kuelekea Soko la Jumuiya ya Afrika Mashari. Nasimi alifunga mafunzo hayo yaliyomalizika juzi Nov 25, 2016 kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akizungumza na Vijana wajasiliamali kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania walioshiriki Mafunzo ya Siku tano ya Ujasiliamali, Fursa na Taratibu za kufanya biashara kuelekea Soko la Jumuiya ya Afrika Mashari. Nasimi alifunga mafunzo hayo yaliyomalizika juzi Nov 25, 2016 kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akizungumza na Vijana wajasiliamali kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania walioshiriki Mafunzo ya Siku tano ya Ujasiliamali, Fursa na Taratibu za kufanya biashara kuelekea Soko la Jumuiya ya Afrika Mashari. Nasimi alifunga mafunzo hayo yaliyomalizika juzi Nov 25, 2016 kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akifurahia na Vijana hao wakati wakiimba wimbo maalum.
Afisa Mradi, Kitengo cha Kujenga Uwezo kutoka shirika lisilo la Kiserikali la 'The Foundation For Civil Society' Nasim Losai, akifurahia na Vijana hao wakati wakiimba wimbo maalum.
''Sasa Mafunzo yamefungwa rasmi'' .......

Waratibu wakiweka mabo sawa wakati wa kufunga mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Mkufunzi Peninah akiwaelekeza baadhi ya Vijana kujaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakielekezana kujaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo. Ila wengine walikuwawakipiga chabo kama Class wakati wa Mtihani mwananguuuuuu........
Vijana wakijaza Fomu za Mpango kazi baada ya kumalizika mafunzo hayo.

No comments: