Sunday, November 6, 2016

Timu ya TTCL "GENERATION T" yaichapa NSSF, kwenye mashindano ya Taasisi za Umma

      Timu ya TTCl  "GENERATION T" wakipanga mikakati  
  
Timu ya TTCl wakiwa katika picha ya pamoja 
 Wachezaji wa TTCL na NSSF wakipeana mikono kabla ya mchezo huo kuanza, katika kiwanja cha TPDC
 Ndinga limeanza
 Kona kuelekea lango la NSSF
 Mabeki wa TTCL wakiwa ngangari 
 Hapiti mtu kirahisirahisi ngome ya TTCL
   Mchezaji wa TTCL Samuel Uwiso akipewa matibabu kutoka kwa Dokta wa timu baada ya kuumia msuli  katika mechi ya TTCL na NSSF.
 
Wachezaji wakipeana mikono baada ya mchezo kumalizika kati ya TTCL na NSSF, TTCL kuibuka na ushindi wa magoli 2 .
 
1.       Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Bw Waziri Waziri Kindamba akiwapongeza na wachezaji wa TTCL baada ya mechi kumalizika na ushindi wa Magoli 2 dhidi ya NSSF, katika kiwanja cha TPDC

No comments: