Naibu
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani
akifafanua jambo kwa wakazi wa kata ya Mpata wakati alipokagua
miundombinu ya barabara katika kata hiyo. 
Wakazi wa mwakaleli wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani (hayupo pichani).
Mbunge wa Busokelo Mhe. Atupele Mwakibete akiongea na wananchi wa jimbo lake wakati Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani alipotembelea kukagua miundombinu ya barabara jimboni humo.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akifafanua jambo kwa wananchi wa Kata ya Mpata wilayani Busokelo mkoani Mbeya ambao wapo tayari kutoa maeneo yao ili kupisha ujenzi wa barabara inayounganisha kata hiyo na eneo la Mwakaleli.
Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Mbeya Eng. Paul Lyakurwa akisisitiza namna atakavyoshirikiana na wananachi wa kata ya Mpata katika ujenzi wa barabara itakayofungua uchumi wa kata hiyo ambayo ni maarufu kwa uzalishaji wa ndizi na viazi.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akijibu maswali ya wananchi wa Mwakaleli waliotaka kujua hatma ya fidia zao katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Katumba-Mbambo hadi Tukuyu.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akijibu maswali ya wananchi wa Mwakaleli waliotaka kujua hatma ya fidia zao katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Katumba-Mbambo hadi Tukuyu.………………………………………………………………..
Serikali imesema itaijenga kwa kiwango cha lami barabara ya Katumba-Mbambo hadi Tukuyu KM 79.4 ili kuiunganisha kwa lami wilaya mpya ya Busekelo na Wilaya nyingine za mkoa wa Mbeya na hivyo kukuza uchumi wa wilaya hiyo.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng.Edwin Ngonyani amesema hayo mara baada ya kukagua ujenzi wa barabara hiyo unaendelea katika sehemu ya Lupaso hadi Bujesi KM 10 na kumtaka mkandarasi anayejenga barabara hiyo kampuni ya Chongqing International Construction Corporation (CICO) kuongeza kasi ya ujenzi huo kwa kuzingatia makubaliano yaliyopo kwenye mkataba.
“Nawaomba wananchi wa Busokelo msimcheleweshe mkandarasi kufanya kazi yake kwa kuepuka vitendo vinavyoweza kuchelewesha ujenzi wa barabara hii kwa kufungua kesi za kudai fidia kwani kwa kufanya hivyo kunachelewesha maaendeleo ya ujenzi wa barabara hii”. amesema Eng. Ngonyani.
Eng. Ngonyani amewataka wananchi wa Wilaya ya Busokelo kushirikina na viongozi wao na kutoa ushirikiano unaostahili ili kasi ya ujenzi wa baraba za lami katika maeneo yao isikwamishwe na wananchi wachache.
Akiwa wilayani Busekelo Naibu Waziri huyo amekagua barabara za Kata ya Mpata na Luteba ambazo zinasimamiwa na halmashauri na kuahaidi kushirikiana na Wizara nyingine ili kuongeza kasi ya ujenzi wa barabara katika wilaya hiyo inayozalisha mazao mengi chakula na biashara yanayosafirishwa katika miji mikubwa nchini.
Naibu Waziri Ngonyani amezungumzia umuhimu wa kuziunganisha wilaya za Makete na Busokelo kwa lami ili kurahisisha usafirishaji wa mazao na kukuza utalii katika hifadhi ya kitulo.
Amemuagiza Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoa wa Mbeya Eng. Paul Lyakurwa kushirikiana na halmashauri ya Busokelo katika baadhi ya miradi ili kuongeza kasi ya kuboresha barabara na hivyo kuhuisha uchumi wa wakazi wa wilaya hiyo.
Naye Mbunge wa Busokelo Mhe. Atupele Mwakibete amemuomba Naibu waziri Ngonyani kuangalia namna ya kuijenga barabara ya Kata ya Mpata ili kuwezesha magari mengi yanayosafirisha gesi kufika kwa urahisi katika eneo hilo na hivyo kurahisha usafirishaji wa gesi,kuongeza ajira kwa vijana na kuongeza pato la halmashauri hiyo.
“Mhe. Waziri wananchi wa Mpata na Luteba wako tayari kutoa maeneo yao bila fidia ili barabara ijengwe katika eneo hilo ambalo ni muhimu kwa uzalishaji wa viazi na ndizi”. Amesistiza Mwakibete.
Naibu waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonuani yupo katika ziara mikoani ya nyanda za juu kusini kukagua miradi ya ujenzi na kutoa maelekezo kwa taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo.
Wakazi wa mwakaleli wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani (hayupo pichani).
Mbunge wa Busokelo Mhe. Atupele Mwakibete akiongea na wananchi wa jimbo lake wakati Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani alipotembelea kukagua miundombinu ya barabara jimboni humo.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akifafanua jambo kwa wananchi wa Kata ya Mpata wilayani Busokelo mkoani Mbeya ambao wapo tayari kutoa maeneo yao ili kupisha ujenzi wa barabara inayounganisha kata hiyo na eneo la Mwakaleli.
Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Mbeya Eng. Paul Lyakurwa akisisitiza namna atakavyoshirikiana na wananachi wa kata ya Mpata katika ujenzi wa barabara itakayofungua uchumi wa kata hiyo ambayo ni maarufu kwa uzalishaji wa ndizi na viazi.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akijibu maswali ya wananchi wa Mwakaleli waliotaka kujua hatma ya fidia zao katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Katumba-Mbambo hadi Tukuyu.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akijibu maswali ya wananchi wa Mwakaleli waliotaka kujua hatma ya fidia zao katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Katumba-Mbambo hadi Tukuyu.………………………………………………………………..
Serikali imesema itaijenga kwa kiwango cha lami barabara ya Katumba-Mbambo hadi Tukuyu KM 79.4 ili kuiunganisha kwa lami wilaya mpya ya Busekelo na Wilaya nyingine za mkoa wa Mbeya na hivyo kukuza uchumi wa wilaya hiyo.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng.Edwin Ngonyani amesema hayo mara baada ya kukagua ujenzi wa barabara hiyo unaendelea katika sehemu ya Lupaso hadi Bujesi KM 10 na kumtaka mkandarasi anayejenga barabara hiyo kampuni ya Chongqing International Construction Corporation (CICO) kuongeza kasi ya ujenzi huo kwa kuzingatia makubaliano yaliyopo kwenye mkataba.
“Nawaomba wananchi wa Busokelo msimcheleweshe mkandarasi kufanya kazi yake kwa kuepuka vitendo vinavyoweza kuchelewesha ujenzi wa barabara hii kwa kufungua kesi za kudai fidia kwani kwa kufanya hivyo kunachelewesha maaendeleo ya ujenzi wa barabara hii”. amesema Eng. Ngonyani.
Eng. Ngonyani amewataka wananchi wa Wilaya ya Busokelo kushirikina na viongozi wao na kutoa ushirikiano unaostahili ili kasi ya ujenzi wa baraba za lami katika maeneo yao isikwamishwe na wananchi wachache.
Akiwa wilayani Busekelo Naibu Waziri huyo amekagua barabara za Kata ya Mpata na Luteba ambazo zinasimamiwa na halmashauri na kuahaidi kushirikiana na Wizara nyingine ili kuongeza kasi ya ujenzi wa barabara katika wilaya hiyo inayozalisha mazao mengi chakula na biashara yanayosafirishwa katika miji mikubwa nchini.
Naibu Waziri Ngonyani amezungumzia umuhimu wa kuziunganisha wilaya za Makete na Busokelo kwa lami ili kurahisisha usafirishaji wa mazao na kukuza utalii katika hifadhi ya kitulo.
Amemuagiza Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoa wa Mbeya Eng. Paul Lyakurwa kushirikiana na halmashauri ya Busokelo katika baadhi ya miradi ili kuongeza kasi ya kuboresha barabara na hivyo kuhuisha uchumi wa wakazi wa wilaya hiyo.
Naye Mbunge wa Busokelo Mhe. Atupele Mwakibete amemuomba Naibu waziri Ngonyani kuangalia namna ya kuijenga barabara ya Kata ya Mpata ili kuwezesha magari mengi yanayosafirisha gesi kufika kwa urahisi katika eneo hilo na hivyo kurahisha usafirishaji wa gesi,kuongeza ajira kwa vijana na kuongeza pato la halmashauri hiyo.
“Mhe. Waziri wananchi wa Mpata na Luteba wako tayari kutoa maeneo yao bila fidia ili barabara ijengwe katika eneo hilo ambalo ni muhimu kwa uzalishaji wa viazi na ndizi”. Amesistiza Mwakibete.
Naibu waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonuani yupo katika ziara mikoani ya nyanda za juu kusini kukagua miradi ya ujenzi na kutoa maelekezo kwa taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo.

1 comment:
SAFARI YAKO YA MAFANIKIO UTAJIRI NA RIZIKI ZAKO ZIMESIMAMA NA KUZINASUA UWEZE KUSONGA MBELE SOMA KWA UMAKINI UWEZE KUIJUA SIRI HII.
KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.
N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA PIA UMBALI POPOTE ULIPO KENYA,UGANDA, OMAN, CONGO RWANDA N.K
WOTE NAWAKARIBISHA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO
i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu
Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao
Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana
ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau
Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako
iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake
iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji
v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa
vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema
vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.
KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K
DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.
Post a Comment