Saturday, November 5, 2016

RAIS DKT SHEIN AFUNGUA MIRADI YA MAENDELEO PEMBA

z1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiteremka katika Ndege ya Shirika la Ndege la AIR Tanzania mada baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Karume Pemba leo,Rais akiwa kisiwani humo atafungua miradi mbali mbali ya Maendeleo,
z2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa wakati alipotembelea sehemu mbali mbali baada ya kulifungua jengo la Mahkama kuu ya Chake chake Pemba leo akiwa katika ziara ya siku tano kisiwani humo,(kushoto) Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu.
z4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu,(wa pili kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi (wa pili kulia) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Utumishi wa Umma na Utawala Bora mara baada ya  kulifungua jengo la Mahkama kuu ya Chake chake Pemba leo akiwa katika ziara ya siku tano kisiwani humo,
z5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu,(wa pili kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi (wa pili kulia) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Utumishi wa Umma na Utawala Bora mara baada ya  kulifungua jengo la Mahkama kuu ya Chake chake Pemba leo akiwa katika ziara ya siku tano kisiwani humo,
z6
Baadhi ya wananchi kutoka shehia mbali mbali katika Wilaya ya Chake chake Pemba wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Jengo la Mahakama kuu ya Chake chake lililofunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara ya siku tano kisiwani humo.
z7
Viongozi wa Idara ya Mahakama wakiwa katika sherehe ya Ufunguzi wa Jengo la Mahakama kuu ya Chake chake lililofunguliwa leo Chakechake Pemba na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara ya siku tano kisiwani humo.
z8
Majaji wa Mahkama Kuu na Wananchi pamoja na Wafanyakazi wa Idara hiyo wakiwa katika sherehe ya Ufunguzi wa Jengo la Mahakama kuu ya Chake chake lililofunguliwa leo Chakechake Pemba na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara ya siku tano kisiwani humo
z9
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwa na  Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu,(kushoto) wakiwa katika sherehe ya Ufunguzi wa Jengo la Mahakama kuu ya Chake chake zilizofanyika leo Viwanja vya Mchezo wa Tenis Chakechake Pemba,
z10 z11
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe ya Ufunguzi wa Jengo la Mahakama kuu ya Chake chake zilizofanyika leo Viwanja vya Mchezo wa Tenis Chakechake Pemba, [Picha na Ikulu.] 05 Nov 2016.

No comments: