Tuesday, November 22, 2016

DKT. TIZEBA AZINDUA BODI YA MAMLAKA YA UDHIBITI WA MBOLEA TANZANIA

Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imezinduliwa rasmi na Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Charles John Tizeba katika ukumbi wa Kilimo I hivi karibuni lengo likiwa ni kuhakikisha kuwa wakulima wanapata mbolea kwa urahisi na kwa bei nafuu.

Mhe Dkt. Tizeba amewataka kufanya kazi kwa umakini wa hali ya juu ili kuweza kufika lengo kuu la kuanzishwa kwa mamlaka hii. Amewataka wajumbe wa Bodi wawe wawajibikaji na wabunifu katika utendaji wa kazi zao.

Aidha Jambo kubwa ambalo alilowataka wajumbe hao kuanza nalo kulifanyia kazi ni bei ya mbolea hapa nchini ambayo ni kubwa na hivyo kupelekea wakulima wengi kushindwa kumudu kununua.

“ Suala la kushusha bei ya mbolea liwe suala la kwanza kulifanyia kazi kwa mstabali wa maendeleo ya kilimo chetu kwa wakulima wetu” alifafanunua Dkt. Tizeba.
Kushusha bei ya mbolea kutasaidia sana na kuchangia kupunguza gharama za uzalishaji wa mazao mbali mbali kwa wadau wetu, alifahamisha Mhe. Dkt. Tizeba.

Aliwataka kutazama upya sheria iliyoanzisha mamlaka hii kuona kama kuna uwezekano wa kukukabiliana na bei za mbolea ambazo zinatengenezwa kijanja kijanja mitaani ili kumuumiza mkulima mdogo.

“ Sheria iliyoanzisha Mamlaka ya Mbolea Tanzania ina upungufu kidogo hivyo nawaomba muitazame upya ili tuweze kufanya marekebisho madogo katika sheria hii” aliongeza Dkt. Tizeba.

Pia Dkt. Tizeba aliwatahadharisha wajumbe kuwa wanafanyakazi miongoni mwa watu matajiri na wanyonge sana, hivyo wajihadhari kuingia katika mtego wa vivutio vya rushwa.

“Wajumbe acheni tabia ya kutaka “kuonwa” na matajiri kwani mnaweza kupoteza uadilifu katika utekelezaji kazi zenu na kujikuta mnajiingiza katika kashfa za kukosa uaminifu” alisisitiza Dkt. Tizeba.
Mhe. Charlse Tizeba pamoja na Mwenyekiti wa Bodi Dkt. Mshindo Msolla wa pili kutoka kushoto.

Kutokana na hali hiyo alienda mbali zaidi kwa kuwapa pole Wajumbe wa Bodi kwa kuwa watafanyakazi katika mazingira magumu kwani wako midomoni mwa watu wenye fedha.

Alisisitiza kuwa maendeleo ya kilimo hapa nchini yako mikononi mwao kwa kiasi kikubwa kwani wao ndio chanzo cha maendeleo ya kilimo kwa wakulima wetu waliowengi.

Naye Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Mshindo Msolla amemhakikishia Mhe. Dkt. Tizeba kuwa watafanyakazi kwa uwezo wao wote ili kufikia lengo lao.

“ Hatuwezi kukuangusha hata kidogo tutafanya kazi kwa bidii na uzalendo wa hali ya juu kwa manufaa ya Taifa letu “ aliahidi Dkt. Msolla.

Wajumbe wa Bodi hiyo ni pamoja na Dkt. Mshindo Msolla ambaye atakuwa ni Mwenyekiti na anatoka Taasisi inayojishughulisha na Biahshara ya Mbolea ( AFAP), Dkt. Ernest Marwa kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Dkt. Matilda Kulumuna kutoka Kituo cha Utafiti wa Kilimo Mlingano cha mkoani Tanga na Dkt. Mwijarubi Nyaruba ambaye anatokea Tume ya Mionzi Tanzania ( Tanzania Atomic Energy Commission).

Wajumbe wengine ni Bw. Farank Mushi ambaye anatokea Umoja wa Wauzaji wa Mbolea Tanzania ( TANADA), Bw. Arnold Kisinga mjumbe kutoka NEMC na kutoka Mamlaka ya Viwango Tanzania (TBS) ni Bw. Nickonia Mwambene, Hawa Kihwele kutoka MVIWATA na kutoka Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi ni Bw. Canuth Komba na Bw. Sospeter Mtemi.

1 comment:

Tiba asili said...

SAFARI YAKO YA MAFANIKIO UTAJIRI NA RIZIKI ZAKO ZIMESIMAMA NA KUZINASUA UWEZE KUSONGA MBELE SOMA KWA UMAKINI UWEZE KUIJUA SIRI HII.

KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA PIA UMBALI POPOTE ULIPO KENYA,UGANDA, OMAN, CONGO RWANDA N.K
WOTE NAWAKARIBISHA.

(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)

HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.

KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.