Sunday, November 20, 2016

CHUO KIKUU IRINGA WAMPONGEZA RAIS DKT MAGUFULI KWA UHAKIKI WA WATUMISHI HEWA

 
 Wahitimu   Aziza Mkawa na Amina Ally  wakimlisha  keki  mwenzao Eugenia Msahala aliyehitimu na jana  chuo  kikuu  cha Iringa
Wahitimu  wa chuo  kikuu cha Iringa  Rubeny Nyagawa kulia ,Anna Laiza , Deodatus Mnyang'ari na Anna Lwanda wakijipongeza kwa  keki baada ya  kuhitimu digirii  ya  biashara  na utawala katika  chuo  kikuu cha Iringa.



Wahitimu  wa chuo  kikuu cha Iringa  Rubeny Nyagawa kulia ,Anna Laiza , Deodatus Mnyang'ari na Anna Lwanda wakijipongeza  baada ya  kuhitimu digirii  ya  biashara  na utawala katika  chuo  kikuu cha Iringa
Wahitimu  wa chuo  kikuu cha Iringa  Rubeny Nyagawa kulia ,Anna Laiza , Deodatus Mnyang'ari na Anna Lwanda wakijipongeza kwa  keki baada ya  kuhitimu digirii  ya  biashara  na utawala katika  chuo  kikuu cha Iringa





No comments: