Friday, October 21, 2016

NHC YAFANYA UHAKIKI WA VIKUNDI VYA VIJANA KATIKA MIKOA YA MWANZA, GEITA NA MARA

nc1
Jengo la ofisi linalojengwa na vijana wa kikundi cha Sarorya ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa vijana wa kutengeneza matofali ya kufungamana kupitia mashine zilizotolewa na NHC kama msaada kwa vijana. Wa Pili Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii, Susan Omari ambaye aliongoza ujumbe wa NHC katika uhakiki wa shughuli zinazofanywa na vijana hao baada ya kupewa msaada wa mashine.
nc2
Kanisa lililojengwa na vijana wa kikundi cha Hope Revival - Manispaa ya Musoma ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa vijana wa kutengeneza matofali ya kufungamana kupitia mashine zilizotolewa na NHC kama msaada kwa vijana.
nc3
Kanisa lililojengwa na vijana wa kikundi cha Hope Revival - Manispaa ya Musoma ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa vijana wa kutengeneza matofali ya kufungamana kupitia mashine zilizotolewa na NHC kama msaada kwa vijana.
nc4
Meneja wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Benedict Kilimba ya utekelezaji wa mradi wa vijana wa kufyatua matofali yanayofungamana kupitia ufadhili wa na NHC wa msaada wa mashine ya kufyatua matofali kwa vijana wa Manispaa ya Ilemela – Mwanza.
nc5
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii, Susan Omari akiwa katika mahojiano na vyombo vya habari baada ya kuhakiki vikundi vya vijana wa Ukombozi Vijana Magu kwenye eneo lao la kazi wanalotegemea kujenga nyumba.
nc6
Moja ya kazi za vijana wa kikundi cha Sarorya - Halmashauri ya Rorya ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa vijana wa kutengeneza matofali ya kufungamana kupitia mashine zilizotolewa na NHC kama msaada kwa vijana.
nc7
Moja ya Nyumba iliyojengwa na vijana wa kikundi cha Ukombozi Vijana - Halmashauri ya Magu.
nc8
Moja ya Nyumba iliyojengwa na vijana wa kikundi cha Ukombozi Vijana - Halmashauri ya Magu.
nc9
Nyumba iliyojengwa na kikundi cha Ukombozi Vijana Magu.
nc10
Nyumba iliyogengwa na vijana Ukombozi Vijana Halmashauri ya Magu.
nc11
Nyumba iliyojengwa na vijana wa kikundi cha JOMUGI Maswa.
nc12
Nyumba iliyojengwa na vijana wa Misungwi.
nc13
Nyumba ya mwananchi iliyojengwa na vijana Rorya.
nc14
Picha ya pamoja na vijana wa kikundi cha Ukombozi Vijana Magu mble ya mojawapo ya nyumba ziliyojengwa na vijana hao
nc15
Eneo jingine la kazi ya vikundi cha Ukombozi Vijana Magu.
nc16
Eneo la kazi la kufyatua matofali ya vijana wa Misungwi.
nc17
Eneo la kazi la kufyatua matofali ya vijana wa Misungwi.
nc18
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii, Susan Omari na timu yake ya NHC akikagua matundu kumi vya choo vilivyojengwa na vijana wa kikundi Jiendeleze - Halmashauri ya Musoma Vijijini.
nc19
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii, Susan Omari na Ujumbe wa NHC wakipata maelekezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya wa ya Magu Bw. Lutengano Mwalwiba.
nc20
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii, Susan Omari na Ujumbe wa NHC wakipata maelekezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Bw. Juma Hamsini.
nc21
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii, Susan Omari na Ujumbe wa NHC wakipata maelekezo kutoka kutoka kwa Mkuu wa wilaya ya  Biutiama Bi. Anna Nyamubi.
nc22
Ujumbe kutoka NHC ukizungumza na Mkurugenzi Halmashauri ya Mji wa Tarime Bw. Fidelica Myovella.
nc23
Ujumbe wa NHC ukipata maelekeo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Rorya Bw. Gasper Mago.

No comments: