Sunday, October 9, 2016

MSANII AY AKONGA NYOYO ZA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA KWENYE THE NYAMA CHOMA FESTIVAL

Jana Oktoba 08, 2016 kuamkia leo jumapili Oktoba 09, 2016 ilikuwa Shangwe kubwa kwa wakazi wa Jiji la Mwanza na viunga vyake kwenye tamasha kubwa la "The Nyama Choma Festival" lililofanyika kwenye viunga vya Rock City Mall.

Msanii AY aliwapagawisha wakazi wa Jiji la Mwanza huku wakipata nyama zilizochomwa kwa ustadi wa hali ya juu huku #LakeFmDjz wakidondosha burudani pamoja na DjK3 kutoka Jijini Dar es salaam. Kumbuka 102.5 Lake Fm ilikuwa miongoni mwa wadhamini wa waliofanikisha tamasha hilo.
Na BMG
Mkali AY akidondosha burudani jukwaani
Shangwe kutoka kwa wakazi wa Jiji la Mwanza na viunga vyake
Shangwe kutoka kwa wakazi wa Jiji la Mwanza na viunga vyake
"Nafurahi kwa namna Mwanza wanavyosupport kazi zangu, baada ya show hii nitarudi tena Mwanza kwa ajili ya kuwapa burudani zaidi". Anasem AY (kushoto) wakati akizungumza na Vesterjtz wa BMG
Mmoja wa wakazi wa Jiji la Mwanza (kushoto) akizungumza na Hyroun Tambwe (kulia) ambaye mtangazaji wa 102.5 Lake Fm Mwanza kwenye The Nyama Choma Festival
Wananzengo kutoka Lake Fm Mwanza
Lake Fm Team
Wananzengo wa Lake Fm Mwanza
Bonyeza HAPA Kujua Zaidi

No comments: