Saturday, October 1, 2016

BRITISH COUNCIL WAZINDUA UTAFITI WA SAUTI ZA VIJANA JIJINI ARUSHA


Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe.Gabriel Daqarro akizindua kitabu cha utafiti wa Sauti ya Kijana nchini Tanzania uliofanywa na taasisi ya British Council kupitia ufadhili wa Shirika la misaada la serikali ya Uingereza la DFID kuwezesha sauti za vijana kuwafikia watunga sera na watoa maamuzi nchini,kulia ni Meneja Mradi wa British Council Tanzania,Elizabeth Nkanda. 
Mkuu wa wilaya ya Arusha,Mh.Gabriel Daqarro akizindua kitabu cha utafiti wa Sauti ya Kijana nchini Tanzania uliofanywa na taasisi ya British Council kupitia ufadhili wa Shirika la misaada la serikali ya Uingereza la DFID kuwezesha sauti za vijana kuwafikia watunga sera na watoa maamuzi nchini. 
Mtaalamu wa sera za ufugaji, Carolyn Kandusi akiongoza shughuli nzima iliyofanyika jijini Arusha. 
Mkurugenzi wa Miradi wa taasisi ya British Council Tanzania,Nesia Mahenge akizungumza katika kongamano la Vijana. 
Mkurugenzi wa Miradi wa taasisi ya British Council Tanzania,Nesia Mahenge akizungumza katika kongamano la Vijana. 
Vijana kutoka taasisi mbalimbali na vyuo Vikuu katika mkoa wa Arusha na Kilimanjaro wakifatilia kwa makini namna ya kutumia fursa mbalimbali kujiajiri na kuanzisha miradi wakati wa uzinduzi huo. 
Vijana kutoka taasisi mbalimbali na vyuo Vikuu katika mkoa wa Arusha na Kilimanjaro wakifatilia kwa makini namna ya kutumia fursa mbalimbali kujiajiri na kuanzisha miradi wakati wa uzinduzi huo. 
Mtaalamu wa masuala ya Mitaji,Baraka Megiroo akiwapa mbinu vijana wenzake namna ya kutumia fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi. 
Mtaalamu wa masuala ya kijamii,Hadija Hassan akizungumza na vijana umuhimu wa kujiamini na kuzikabili changamoto mbalimbali,kushoto ni Mtaalamu mwenzake Gladys Mmari na Mary Bird

Vijana kutoka taasisi mbalimbali na vyuo Vikuu katika mkoa wa Arusha na Kilimanjaro wakifatilia kwa makini namna ya kutumia fursa mbalimbali kujiajiri na kuanzisha miradi wakati wa uzinduzi huo. 

No comments: