Monday, September 19, 2016

WATOTO WA SHULE YA AWALI YA YOHANE MERLINE WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO NA MICHEZO KIGAMBONI JIJINI DAR

  Baadhi ya watoto wa Shule ya awali ya Yohane Merlin wakiwa wamefika katika ziara yao ya kujifunza na kufanya kwa vitendo kuogelea na mambo mengine ikiwa ni pamoja na Kucheza Michezo mbalimbali
 Watoto wa Shule ya Awali ya Yohane Merlin wakiwa wanacheza na kufurahi katika maji
 Baadhi ya watoto wakiwa wamepumzika kwa muda baada ya kucheza katika maji
 Mwenyekiti wa Shule ya awali ya Yohane Merlin iliyopo Mbezi Beach David Manoti (wa nne kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya wazazi na Mmoja wa walimu wakati wa ziara hiyo ya mafunzo
  Watoto wa Shule ya awali ya Yohane Merlin wakiogelea kila mmoja kwa aina yake walipokuwa katika ziara ya kujifunza na kufanya michezo mbalimbali
 Mwenyekiti  Shule ya Awali ya Yohane Merlin David Manoti akicheza na watoto
 watoto wa Shule ya Awali ya Yohane Merlin wakipata maelekezo kutoka kwa mwenyekiti wa shule hiyo David Manoti
 Watoto wa Shule ya Awali ya Yohane Merlin wakiendelea na michezo mbalimbali
 Watoto wa Shule ya Awali ya Yohane Merlin wakipata chakula baada ya kumaliza Ziara yao ya Masomo
Kutoka kushoto ni  Mwalimu Mkuu wa Shule ya awali ya Yohane Merlin Sr. Jenesia Thomas Baraka,Mwenyekiti wa Kamati ya Shule David Manoti, Makamu Mwenyekiti Michael Biseko na Mjumbe wa kamati Bi. Mwile Kauzeni.
 Baadhi ya Walimu, Wazazi pamoja na wanakamati wa Shule ya Awali ya Yohane Merlin wakiwa katika picha ya pamoja
 Baadhi ya wazazi na walimu wakiwa katika Michezo ya watu wazima wakiungana na wanafunzi hao wa shule ya awali ya  Yohane Merlin
 Hili ni Daraja la Nyerere lililopo Kigamboni ambapo watoto wa shule ya awali ya Yohane Merline(hawapo pichani) walipata kuliona wakati wa ziara yao ya kujifunza na michezo. Picha na Fredy Njeje


No comments: