Tuesday, September 27, 2016

Wataalam wa Jiolojia na Wasanifu majenzi wafanya upembuzi eneo la ujenzi wa majengo mapya shule ya IHUNGO.

 Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof.Abdulkarim Mruma akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Bi. Maimuna Tarishi maeneo sahihi ya ujenzi wa majengo katika shule ya sekondari Ihungo.
 Mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Jiolojia akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Bi. Maimuna Tarishi maeneo sahihi ya ujenzi wa majengo katika shule ya sekondari Ihungo.
 Mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Jiolojia akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Bi. Maimuna Tarishi ramani ya maeneo katika maeneo sahihi ya ujenzi wa majengo katika shule ya sekondari Ihungo.
 Wataalam wa Miamba (JIOLOJIA) na Wasanifu Majengo wakiondoka katika eneo walilokuwa wakilifanyia upembuzi kwa ajili ya ujenzi wa majengo mapya ya katika shule ya sekondari Ihungo.
 Wataalam wa Miamba (JIOLOJIA) na Wasanifu Majengo wakifanya mjumuisho baada ya kukamilisha mapitio na upembuzi wa maeneo sahihi ya ujenzi wa majengo katika shule ya sekondari Ihungo.

No comments: