Wednesday, September 28, 2016

Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi azindua maadhimisho ya siku ya Bahari Duniani Mkoani Tanga

Mgeni Rasmi kwenye Uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya Bahari Duniani ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande kushoto ambaye alimuwakilisha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,Makame Mbawara katika maashimidho hayo akiingia kwenye viwanja vya Tangamano kunakofanyika maadhimisho hayo katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra,Gilliard Ngewe kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga(Ras)Mhandisi Zena Saidi.
Afisa Mawasiliano Mwandamizi wa TPA,Focus Mauki kushoto akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande aliyesimama katikati wakati alipolitembelea Banda la Mamlaka ya Bandari (TPA) kunakofanyika maadhimisho ya siku ya Bahari Dunia wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra,Gilliard Ngewe.
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),Joseph Msaki kushoto akimueleza jambo Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande wakati alipotembelea Banda lao leo.
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),Joseph Msaki aksisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande wakati alipotembelea Banda lao leo wa pili kutoka kulia ni Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa.
Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga,Henry Arika kushoto akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande wakati alipotembelea Banda lao leo.
Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga,Henry Arika kushoto akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande ambaye hayupo pichani wakati alipotembelea Banda lao leo.
Tug Master Idara ya Marine Bandari ya Tanga,Mkanga Mbwana akifafanua jambo kwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande wakati alipotembelea Banda lao leo katikati ni Afisa Mawasiliano Mwandamizi wa TPA,Focus Mauki.
Afisa Zimamoto na Usalama wa Bandari ya Tanga (TPA),Athumani Mkubwa akimueleza jambo Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande wakati alipotembelea Banda lao leo katikati ni Afisa Mawasiliano Mwandamizi wa TPA,Focus Mauki.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Quality Body Product LTD ambayo inajihusisha na Vifaa vya Uvuvi na Malighafi za Vipodozi,Hussein Walt akimuonyesha mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Uchukuzi, Tumpe Mwaijande namna wanayotengeneza bidhaa hizo wakati alipo tembelea Banda lao leo.
Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa nchi kavu na majini (Sumatra) Mussa Mandia kushoto akisoma vipeperusi kuhusiana na mfuko wa Pensheni wa PSPF mara baada ya kulitembelea Banda lao lililopo kwenye viwanja vya Tangamano mjini Tanga panako fanyika maadhimisho ya siku ya Bahari Duniani katikati ni Afisa wa Mfuko huo,Michael Kazimili na kulia aliyekaa ni Afisa Mwandamizi wa mfuko huo Mkoa wa Tanga,Happines Mbuna.
Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa nchi kavu na majini (Sumatra) Mussa Mandia kushoto akisoma vipeperusi kuhusiana na mfuko wa Pensheni wa PSPF mara baada ya kulitembelea Banda lao lililopo kwenye viwanja vya Tangamano mjini Tanga panako fanyika maadhimisho ya siku ya Bahari Duniani katikati ni Afisa wa Mfuko huo,Michael Kazimili na kulia aliyekaa ni Afisa Mwandamizi wa Mkoa wa Tanga,Happines Mbuna.
Afisa Mkaguzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Vyombo vya Majini kutoka Sumatra ,Mhandisi Christopher Mlelwa akimsikiliza mkazi wa Jiji la Tanga ambaye aliitaja kupata ufafanuzi kuhusiana na masuala mbalimbali yanayohusiana na mamlaka hiyo.

Baadhi ya wakazi wa Jiji la Tanga wakifuatilia uzinduzi wa Maonyesho ya Bahari Dunia leo kwenye viwanja vya Tangamano

No comments: