Tuesday, August 23, 2016

MPINGA CUP 2016 YAPAMBA MOTO, WAENDESHA BODABODA WANUFAIKA KWA MAFUNZO NA VIFAA VYA MICHEZO

 Mratibu wa Mashindano ya Mpinga Cup 2016 , A.S.P Mbunja Matibu, akikagua timu za kundi B zinazoshiriki kwenye Michuano hiyo, kwa Madereva wa Bodaboda, yaliyofanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa Wiki iliyopita, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Mkaguzi wa Polisi Hamisi Membe akifundisha waendesha pikipiki (Bodaboda), kuhusu Alama za Usalama Barabarani, wakati wamashindano ya Mpinga Cup 2016 yanayoshirikisha Madereva wa Bodaboda, yaliyofanyika kwenye uwanja waMagerezaUkongamwishoni mwajuma, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Mrakibu wa Polisi Methew Msuyale (kushoto) akikabidhi Fulana  kwa kiongozi wa timu mojawapo zilizoshiriki kwenye hatua ya Mtoano kutoka kundi B kwenye ya Mpinga Cup 2016, iliyochezwa kwenye uwanja wa Magereza Ukonga Mwishoni mwa wiki iliyopita. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda),
 
  Mrakibu wa Polisi Methew Msuyale (kushoto) akikabidhi Fulana  kwa kiongozi wa timu mojawapo zilizoshiriki kwenye hatua ya Mtoano kutoka kundi B kwenye ya Mpinga Cup 2016, iliyochezwa kwenye uwanja wa Magereza Ukonga Mwishoni mwa wiki iliyopita. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda),
 Sajenti Muhidini Mohamed, mmoja wa wakaguzi wa mashindano ya Mpinga Cup 2016 , akikagua moja ya timu za kundi B zinazoshiriki kwenye michuano ya Mpinga Cup 2016, mashindano ambayo yamefanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa wiki iliyopita, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Sajini Meja Bahati Nzunda(kulia) Akikabidhi Zawadi ya Mpira kwa Moja ya Timu zilizoibuka washindi wakati wa michezo ya kundi B hatua ya Mtoano ambayo washindi wote wanapatiwa Mpira kwa ajili ya kufanya Maandalizi katika hatua ya Pili. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).  
 Mratibu wa Mashindano ya Mpinga Cup 2016 , A.S.P Mbunja Matibu, (kushoto) na Mkaguzi wa Polisi Flora Nangawe, wakitoa Elimu ya Usalama barabarani kwa njia ya Vipeperushi kwa Boda boda. Kupitia mashindano ya Mpinga Cup yaliyofanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa Wiki iliyopita, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Mratibu wa Mashindano ya Mpinga Cup 2016 , A.S.P Mbunja Matibu, (kushoto) na Mkaguzi wa Polisi Flora Nangawe, wakitoa Elimu ya Usalama barabarani kwa njia ya Vipeperushi kwa Boda boda. Kupitia mashindano ya Mpinga Cup yaliyofanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa Wiki iliyopita, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Mwalimu wa Elimu ya Usalama Barabarani Koplo Faustina Ndunguru (kulia) Akikabidhi Zawadi ya Mpira kwa Moja ya Timu zilizoibuka washindi wakati wa michezo ya kundi B hatua ya Mtoano ambayo washindi wote wanapatiwa Mpira kwa ajili ya kufanya Maandalizi katika hatua ya Pili. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).  
 Mratibu wa Mashindano ya Mpinga Cup 2016 , A.S.P Mbunja Matibu, akikagua timu za kundi B zinazoshiriki kwenye Michuano hiyo, kwa Madereva wa Bodaboda, yaliyofanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa Wiki iliyopita, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
  Polisi Konstebo Mohamed wa Traffic Kuu (kulia) Akikabidhi Zawadi ya Mpira kwa Moja ya Timu zilizoibuka washindi wakati wa michezo ya kundi B hatua ya Mtoano ambayo washindi wote wanapatiwa Mpira kwa ajili ya kufanya Maandalizi katika hatua ya Pili. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda), Aliyesimama katikati ni Mkaguzi wa Polisi Flora Nangawe
 Mratibu wa Mashindano ya Mpinga Cup 2016 , A.S.P Mbunja Matibu, akiwasisistiza waendesha Pikipiki (Boda boda) kuzifuata na kuzingatia Sheria za Usalama Barabarani wakati wa Mashindano ya Mpinga Cup 2016 yaliyofanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa Wiki iliyopita, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Kiongozi akitambulisha wachezaji wa timu mojawapo ya Bodaboda kwa Mratibu wa Mashindano ya Mpinga Cup 2016 , A.S.P Mbunja Matibu, kwa Madereva wa Bodaboda, yaliyofanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa Wiki iliyopita, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Sajenti Muhidini Mohamed, mmoja wa wakaguzi wa mashindano ya Mpinga Cup 2016 , akikabidhi Zawadi ya Mpira na Furana kwa  timu za kundi B zinazoshiriki kwenye michuano ya Mpinga Cup 2016, mashindano ambayo yamefanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa wiki iliyopita, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Mawashabiki ambao ni Waendesha Pikipiki, wakishangilia katika Bango la Mashindano ya Mpinga Cup baada ya Kuibuka Washindi wa mechi za mtoano na kujipatia zawadi ya Mpira kutoka kwa Waandaaji Traffic Kuu Dar es Salaam. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Mawashabiki ambao ni Waendesha Pikipiki, wakishangilia katika Bango la Mashindano ya Mpinga Cup baada ya Kuibuka Washindi wa mechi za mtoano na kujipatia zawadi ya Mpira kutoka kwa Waandaaji Traffic Kuu Dar es Salaam. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Mkaguzi wa Polisi Hamisi Membe akikagua timu ya waendesha pikipiki (Bodaboda), wakati wamashindano ya Mpinga Cup 2016 yanayoshirikisha Madereva wa Bodaboda, yaliyofanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa wiki iliyopita. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(

 Timu ya Mpira wa Miguu ya Kituo Kipya (A) F.c ya Gongolamboto, (Waendesha Boda boda) inayoshiriki michuano ya Mpinga Cup 2016 kutoka kituo cha kundi B, wakipiga picha ya pamoja muda mfupi kabla ya kuingia Uwanjani kuchuana na wenzao wa kituo Kipya (B) michezo hiyo imefanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa wiki iliyopita. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).  
Mrakibu wa Polisi Methew Msuyale (kulia) akikabidhi Mpira kwa kiongozi wa timu mojawapo zilizoshiriki kwenye hatua ya Mtoano kutoka kundi B kwenye Michzo ya Mpinga Cup 2016, iliyochezwa kwenye uwanja wa Magereza Ukonga Mwishoni mwa wiki iliyopita. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda), 
 
Mrakibu wa Polisi Methew Msuyale (kulia) akikabidhi Mpira kwa kiongozi wa timu mojawapo zilizoshiriki kwenye hatua ya Mtoano kutoka kundi B kwenye Michzo ya Mpinga Cup 2016, iliyochezwa kwenye uwanja wa Magereza Ukonga Mwishoni mwa wiki iliyopita. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda), 
 Mkaguzi wa Polisi Flora Nangawe (kulia) akikabidhi Mpira kwa kiongozi wa timu mojawapo zilizoshiriki kwenye hatua ya Mtoano kutoka kundi B kwenye Michzo ya Mpinga Cup 2016, iliyochezwa kwenye uwanja wa Magereza Ukonga Mwishoni mwa wiki iliyopita. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda),
 
 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani (T) DCP Mohammed Mpinga akiwataka na kuwaelimisha waendesha pikipiki (Boda Boda) kuzingatia, kuzifuata na kuziheshimu Sheria za Usalama Barabarani ili kuweza kupunguza wimbi la ajali za waendesha Pikipiki hapa nchini. Kupitia mashindano ya Mpinga Cup 2016 inayohusisha waendesha Pikipiki Mkoani Ilala, Dar es Salaam, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani (T) DCP Mohammed Mpinga akikagua timu katika  mashindano ya Mpinga Cup 2016 inayohusisha waendesha Pikipiki Mkoani Ilala, Dar es Salaam, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).
  Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani (T) DCP Mohammed Mpinga akikagua timu katika  mashindano ya Mpinga Cup 2016 inayohusisha waendesha Pikipiki Mkoani Ilala, Dar es Salaam, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).
 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani (T) DCP Mohammed Mpinga akiwataka na kuwaelimisha waendesha pikipiki (Boda Boda) kuzingatia, kuzifuata na kuziheshimu Sheria za Usalama Barabarani ili kuweza kupunguza wimbi la ajali za waendesha Pikipiki hapa nchini. Kupitia mashindano ya Mpinga Cup 2016 inayohusisha waendesha Pikipiki Mkoani Ilala, Dar es Salaam, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
Mkaguzi wa Polisi Hamisi Membe akifundisha waendesha pikipiki (Bodaboda), kuhusu Alama za Usalama Barabarani, wakati wamashindano ya Mpinga Cup 2016 yanayoshirikisha Madereva wa Bodaboda, yaliyofanyika kwenye uwanja waMagerezaUkongamwishoni mwajuma, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(

No comments: