Friday, July 15, 2016

WAZIRI WA ELIMU, PROF JOYCE NDALICHAKO AONGOZA HAFLA YA WASICHANA( TANZANIA GIRLS GUIDES ASSOCIATION).

 Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako akiwa katika picha ya pamoja na Maraki wa Tanzania Girl Guides waliohudhuria katika sherehe ya kuwapokea washiriki wa Mradi wa YESS-Girl Guides iliyofanyika katika hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.
Mabinti walioshiriki Mradi wa Matembezi ya YESS- Girls hapa nchini wapili kulia ni Lydia Omondi kutoka Kenya, Florence Kwizera kutoka Burundi na Avengiline Du Toit kutoka Afrika kusini wakiwa na Girl Guide wa Tanzania wakitoa burudani katika sherehe ya kuwapokea washiriki wa Mradi wa YESS-irl Guide jijini Dar es Salaam.
 Mabinti walioshiriki Mradi wa Matembezi ya YESS- Girls  wakiwa katika picha ya Pamoja.
 Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako akimkabidhi Binti Rose Ipyana Mwambete aliyewakilisha TanzaniaGirl Guide katika mradi wa YESS-Girls Movement 2016 huko Rwanda wakati wa sherehe iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako akimkabidhi cheti Happyness Mshana aliyewakilisha Tanzania huko Madagaska katika Mradi wa YESS-Girls Movement.


Baadhi ya washiriki wakipokea vyeti katika sherehe iliyofanyika katika Hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.

No comments: