Wednesday, July 20, 2016

KINANA AKAGUA UKUMBI UTAKAOTUMIKA WAKATI WA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM MJINI DODOMA


Katibu wa NEC, Itukadi na Uenezi, Nape Nnauye na Msemaji Mkuu wa CC, Christopher Ole Sendeka wakimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili kukagua ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma, leo Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utakaofanyika Julai 23, 2016.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akianza kukagua ukumbi huo huku akiongozana na Katibu wa NEC, ITikadi na Uenezi Nape Nnauye
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiongozwa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kuingia katika ukumbi huo. Kushoto ni Msemaji Mkuu wa CCM Christopher Ole Sendeka
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimpa maelezo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipokagua ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma, leo Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utakaofanyika Julai 23, 2016. Wengine kutoka kulia ni Katibu Msaidizi Mkuu Itikadi na Uenezi Rogas Romuli, na Msemaji Mkuu wa CCM, Christopher Ole Sendeka.na kushoto ni Ofisa Mwandamizi katika Idara ya Itikadi na Uenezi, Kilumbea Ng'enda
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimpa maelezo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipokagua ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma, leo Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utakaofanyika Julai 23, 2016. ulia ni Katibu Msaidizi Mkuu Itikadi na Uenezi Rogas Romuli na Msemaji Mkuu wa CCM, Ole Sendeka
Nape akionyesha eneo la meza kuu
Nape akiendelea kumpatia maelezo Kinana kuhusu hali ya ukumbi
Nape akiendelea kumpatia maelezo Kinana kuhusu hali ya ukumbi
Hali ya ukumbi sehemu ambako watakaa wajumbe na waalikwa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na baadhi ya viongozi wakitazama paa la Ukumbi, Kinana alipokagua ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma, leo Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utakaofanyika Julai 23, 2016.


Nape akijaribu vinasa sauti vitakavyotumika
Kinana na Nape wakikagua eneo watakakokaa viongozi katika meza kuu
Ole Sendeka akitoa mawazo yake wakati wa ukaguzi wa ukumbi huo
Msemaji Mkuu wa CCM, Christopher Ole Sendeka akijaribu vinasa sauti vitakavyotumika wakati wa mkutano huo
Wakielekea kutoka ukumbini baada ya kukagua
Kinana na Nape wakiendelea kukagua maeneo mengine ya ukumbi
Eneo la mapumziko ya wageni waalikwa na viongozi
Ukumbi mdogo wa ndani
Wakienda kukagua eneo lingine la ukumbi
Wakiendelea kukagua ukumbi

Eneo la kulia chakula



Kinana, Nape na Sendeka wakitoka ukumbini


Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akisalimia baadhi ya wanachama wa CCM ambao wamekuwa wakifanya shughuli mbalimbali kuandaa ukumbi huo
Nape akimuonyesha eneo watakakotokea wajumbe
Geti la kutokea
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana pia alikagua banda la Uhuru Publications Limited ambalo watumishi wa kampuni hiyo wataonyesha kazi zao za uandaaji wa magazeti ya Uhuru Mzalendo na Burudani wakati wa mkutano huo

Kinana akikagua banda hilo



Kinana akiwa kwenye banda hilo



Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwa na Msemaji Mkuu wa CCM, Christopher Ole Sendeka kwenye banda la Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, alipokagua ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma, leo Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utakaofanyika Julai 23, 2016.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukagua ukumbi huo



Msemaji Mkuu wa CCM, Christopher Ole Sendeka akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza, Anthony Diallo, baada ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (wapili kulia), kukagua ukumbi huo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwav



Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi, alipokagua ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma, leo Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utakaofanyika Julai 23, 2016.



Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akijadili jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi, alipokagua ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma, leo Julai 20, 2016, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utakaofanyika Julai 23, 2016. Katikati ni Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka



Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akijadili jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi, baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto kukagua ukumbi huo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments: