Saturday, June 4, 2016

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YASHIRIKI KUFANYA USAFI ENEO LA FERI KATIKA KUADHIMISHA WIKI YA MAZINGIRA

Katibu Mtendaji wa Tume Bw. Casmir Kyuki (katikati) akiwa na mkuu wa Wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi (Kulia) na Kamishna wa Tume Bw. Albert Msangi wakishiriki zoezi la Usafi katika eneo la Feri.Katibu Mtendaji wa Tume Bw. Kyuki akiwa na Kamishna wa Tume Bw. Albert Msangi wakizoa taka katika eneo la FerWatumishi wa Tume wakiwa wamebeba taka wakati wa zoezi la kufanya usafi eneo la Feri.Mkurugenzi wa Halmshauri ya Manispaa ya Ilala Bw. Isaya Mngurumi (kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi anayemfuatia wakishiriki kufanya usafi.Katibu Mtendaji wa Tume Bw. Casmir Kyuki (kushoto ) akiwa pamoja na Mkuu wa Wialaya ya Ilala pamoja na Makamishana wa Tume wakishiriki kufanya usafi.Kamishana wa Tume Profesa Sufian Bukurura (kulia) akiwa na mtumishi wa Tume Bw. Ally Msengi wakishiriki kufanya usafi.Katibu Mtendaji wa Tume Bw. Casmir Kyuki akihojiwa na chombo cha habari wakati wa zoezi la kufanya usafi.Watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya zoezi la kufanya usafi katika eneo la Feri.

No comments: