Saturday, June 18, 2016

SIMU TV: YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI LEO June 18, 2016.


SIMU.tv:  Serikali imetoa siku 90 kwa watu waliovamia msitu wa hifadhi ya taifa ya Uzigua kuondoka kwa hiari kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa.https://youtu.be/LzGA7J4LVqc
SIMU.tv:  Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa amewataka wanafunzi wanaohitimu elimu ya juu kutumia vizuri elimu wanayoipata vyuoni. https://youtu.be/zkOA9e4YOeI
 SIMU.tv:  Serikali ya China inatarajia kuajiri vijana 400 wa kitanzania waliohitimu vyo vikuu ambao watakwenda kufanya kazi katika kampuni za China. https://youtu.be/DQmjf-_CEbQ
  SIMU.tv:  Katibu mkuu wa wizara ya fedha na mipango amesema mpango wa TASAF kunusuru kaya masikini umeboresha na kubadirisha maisha ya watu masikini.https://youtu.be/rky0v8n42IU
 SIMU.tv:  Kamati ya uchaguzi ya TFF imefuta matokeo ya uchaguzi ya chama cha soka cha mkoa wa Kinondoni KIFA. https://youtu.be/QA55GMlOZlY
 SIMU.tv:  Mabingwa wa Tanzania bara timu ya Yanga kesho usiku watashuka dimbani kumenyana na Mo  Bajaia katika hatua ya 1 ya makundi ya kombe la shirikisho.https://youtu.be/RJKjQy39rg8
 SIMU.tv:  Wamachinga wafanya vurugu maeneo ya kariakoo baada ya waziri  Simbachawene kuomba  kuondolewa kwa wamachinga hao: https://youtu.be/A-Kg6L2e1n8
 SIMU.tv:  Polisi mkoani Dodoma imezuia mahafali ya umoja wa vyuo vikuu  Chadema kutokana na kukosekana kwa kibali cha kufanya mahafali hayo:https://youtu.be/9mZuBiFd5vo
 SIMU.tv:  Rais mstaafu  Mhe. Kikwete amewataka wadau wa maendeleo kuiunga mkono serikali ili watoto wenye hali duni waweze kwenda shule: https://youtu.be/IRLuXUc18yo
 SIMU.tv:  Aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa  amesema kamwe hatokubaliana na uchaguzi uliofanyika mwaka jana:https://youtu.be/3noqh1Aat2c
 SIMU.tv:  Timu ya Yanga kesho inashuka dimbani nchini Algeria kwa ajili ya kumenyana na timu ya Mo  Bajaia katika kombe la shirikisho la Afrika: https://youtu.be/uygfyRcXekQ
 SIMU.tv:  Mwanamuziki wa kizazi kipya Barnaba amesikitishwa sana kwa kitendo cha wasanii wenzake  kushindwa kuwasaidia watoto katika jamii:https://youtu.be/ZD6gX69p4gA

No comments: