Wednesday, June 22, 2016

PROF. MBARAWA AZINDUA MKUTANO WA19 WA SADC WA KAMATI YA USAFIRI WA ANGA

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akiongea wakati wa uzinduzi wa mkutano 19 wa SADC wa kamati za usafiri wa Anga uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.wapili kushoto ni mwakilishi wa SADC ICAO Raphael Bokango, Mwenyekiti wa SADC kamati ya usafiri wa Anga Geoffrey Moshabesha na Mkurungenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari (Kulia).
Mkurugenzi Mkuu wa Mamalaka ya usafiri wa Anga Tanzania Hamza Johari akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa mkutano 19 wa SADC wa kamati za usafiri wa Anga uliofanyika kwenye ukumbi waKimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, Mwenyekiti wa SADC kamati ya usafiri wa Anga Geoffrey Moshabesha na mwakilishi wa SADC ICAO Raphael.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Kushoto) akisalimiana na Mkurungenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari (Kulia) mara baada ya kuzinduzua mkutano 19 wa SADC wa kamati za usafiri wa Anga uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.wapili kushoto ni mwakilishi wa SADC ICAO Raphael Bokango, Mwenyekiti wa SADC kamati ya usafiri wa Anga Geoffrey Moshabesha.
Baadhi ya wajumbe wa wakiwa kwenye mkutano 19 wa SADC wa kamati za usafiri wa Anga uliofanyika kwenye ukumbi waKimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam leo. Uliozinduliwa na i Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa.

No comments: